mnyikungu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2009
- 1,960
- 2,464
kweli tuusifu tu uumbaji wa bwana akishirikiana na wachinaTuache utani,hivi vifaa sana
kweli tuusifu tu uumbaji wa bwana akishirikiana na wachinaTuache utani,hivi vifaa sana
mkuu naona misimamo yako huwa wakati mwingine imekaa kikoloni hivi, you dont want to think nje ya box, na ukiambiwa unakuwa mkali coz umejifungia ndani ya box na funguo umetupa nje.
mkuu naona misimamo yako huwa wakati mwingine imekaa kikoloni hivi, you dont want to think nje ya box, na ukiambiwa unakuwa mkali coz umejifungia ndani ya box na funguo umetupa nje.
Ukitaka kwenda na tamaduni halisi za kiafrika, mtoto wa kike anavaa kibwaya (kama cha Kipepe kile) halafu juu maziwa wazi. Sasa kama issue yako ni "kukaa uchi" tamaduni zetu zinaruhusu watoto wa kike kukaa "uchi" kuliko hawa.
Sema jingine.
Ona waswazi hawa wanaodumisha mila zao.
Mbona yamesha tepwereka kiasi hicho ,Au ndio yamechezewa sana?