Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 9,052
- 12,303
Lengo na vichocheo vya kimwili vikijitosheleza baada ya kukutana kimwili, ndipo unaweza kuona uzuri na ubaya wa huyo ulokutana nae kwenye tendo.
na ndio maana matamanio, hamu, ugwadu na upwiru huchochea sana watu wengi kujielaza kwa uongo na kweli, na kuwashawishi wenza wao hata kwa fedha na mali ili wakutane kimwili faragha.
pindi haja zinapokua zimetimia na kwisha, sasa wanaweza kuasses uzuri na mapungufu ya kila moja.
kama mapungufu hayo, ni mazito kuyaishi na kuyavumilia, ni dhahiri hawata taftana tena kwa wakati mpaka tena pale upwiru utakapowachochea kufanya hivyo ..
Lakini kama madhaifu hayo yanahimilika, na yakaonekana yanavumilika, na mtu anaweza kuyaishi, kuyahifadhi au kuyasitiri, basi wenzi hao hutafutana mara kwa mara, na kuhitaji wawe karibu muda wote bila kujali wana upwiru ama laa...
bali wanachochewa na upendo wa dhati uliojaa mapenzi mazito ya kimwili na kiroho..
na huo ndio hua mwanzo wa upendo wa kweli, upendo wa dhati, na wa kufa na wakuzikana.
Ukishikwa hapo, shikilia apo apo 🐒
na ndio maana matamanio, hamu, ugwadu na upwiru huchochea sana watu wengi kujielaza kwa uongo na kweli, na kuwashawishi wenza wao hata kwa fedha na mali ili wakutane kimwili faragha.
pindi haja zinapokua zimetimia na kwisha, sasa wanaweza kuasses uzuri na mapungufu ya kila moja.
kama mapungufu hayo, ni mazito kuyaishi na kuyavumilia, ni dhahiri hawata taftana tena kwa wakati mpaka tena pale upwiru utakapowachochea kufanya hivyo ..
Lakini kama madhaifu hayo yanahimilika, na yakaonekana yanavumilika, na mtu anaweza kuyaishi, kuyahifadhi au kuyasitiri, basi wenzi hao hutafutana mara kwa mara, na kuhitaji wawe karibu muda wote bila kujali wana upwiru ama laa...
bali wanachochewa na upendo wa dhati uliojaa mapenzi mazito ya kimwili na kiroho..
na huo ndio hua mwanzo wa upendo wa kweli, upendo wa dhati, na wa kufa na wakuzikana.
Ukishikwa hapo, shikilia apo apo 🐒