Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,277
- 108,283
Daddy.... Nimesema majina na mahali sio halisi!!!!
lol....unajua hicho kisa ni kama nakifananisha na nikifahamucho.
Daddy.... Nimesema majina na mahali sio halisi!!!!
haya, hadithi nzuri, lakini its not applicable now days
...ila kastori kameishia njiani, ungefanya kama sinema ya kihindi, jamaa anatokea dirishani kupoteza ushahidi, afu hako kadada kana muwekea mtego wa pili mwishooooniiii ndo jamaa anaingia kingi ila hauwawi teh.. Tehe hheee., ihhii hiiiii...
lol....unajua hicho kisa ni kama nakifananisha na nikifahamucho.
Unazungumzia Sani gazeti au Sani jarida?
Daddy.... Isijekuwa wewe ndo mhusika eeh???
Nisingejitia gharama zote hizo mpaka mwanza kufumani tu?cheusi ni cheusi tu hakitakaa kiwe cheupe
najivua gamba naenda kusaka gwanda popote liwalo na liwe.
nitarudi daughter.
Kinachokatazwa kuvunjwa ni ndoa lakini si dhambi kuvunja uchumba. uchumba ni hatua ya kuelekea ndoa yani ni mapatano ya kununua kitu. mnaweza kupatana na muuzaji kisha ukiwa unaenda kufuata pesa ya kulipa ukakuta bidhaa nyingine nzuri na nafuu kuliko ya awali, hapo unahaki ya kuiulizia na hata kuinunua na hakuna dhambi.Mkuu kumbuka kuwa alishafanya utambulisho kwa pande zote mbili, ina maana alishajihakikishia kuwa Siwema anafaa kuwa mke. Ingelikwua ni wapenzi hapo sawa... ruksa kufanya window shopping!!!!!!!
Kinachokatazwa kuvunjwa ni ndoa lakini si dhambi kuvunja uchumba. uchumba ni hatua ya kuelekea ndoa yani ni mapatano ya kununua kitu. mnaweza kupatana na muuzaji kisha ukiwa unaenda kufuata pesa ya kulipa ukakuta bidhaa nyingine nzuri na nafuu kuliko ya awali, hapo unahaki ya kuiulizia na hata kuinunua na hakuna dhambi.
hili swali si level zako mkuu
Matoleo yote mkuu...gazeti na jarida