kat.ph
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,222
- 1,675
kama icho chuo ni tanzania unatuongopea, huwez maliza degree na miaka 21 kwa mfumo wa elimu yetu
Mbona watu wanamaliza na 20 kaka....
kama icho chuo ni tanzania unatuongopea, huwez maliza degree na miaka 21 kwa mfumo wa elimu yetu
Nina umri mdogo (21) namaliza degree mwaka huu.
Nina maono ya maendeleo lakini natamani sana kuolewa, times za usiku natamani ningekua na mwanaume wangu nimpe mzigo tena natamani kuzalishwa hata mwaka huu.
Hivi ninavyotamani ni kawaida au ni ujinga ninao?
Mbona watu wanamaliza na 20 kaka....
ngoja nimuite mwekundu aje anipe comon ddefinition ambayo huwa wanashare na mabazazi wengine mimi sijui coz sio mwanachama....Mkuu hivi bazazi ni nini maana yake?
Nina umri mdogo (21) namaliza degree mwaka huu.
Nina maono ya maendeleo lakini natamani sana kuolewa, times za usiku natamani ningekua na mwanaume wangu nimpe mzigo tena natamani kuzalishwa hata mwaka huu.
Hivi ninavyotamani ni kawaida au ni ujinga ninao?
Sikushauri,niliolewa na 22..mbali na kusimama masomo kuna changamoto nyingi sana ndani ya ndoa halafu akili yenyewe inakuwa bado ina utoto fulani..kama huna uvumilivu na hekima ya kiMungu,haki ya mama unaweza ukaimbia hyo ndoa ndani ya miezi 3 na mimba juu
Mungu mkubwa. Nimekua nikikuota muda mrefu, ndo hivyo nipm basi!
Soma bibie soma... au unataka yakutokee yale ya
"Sifa ya Moyo Tamaa, Moyo Sifa yake kutamani
Tamaa ya moyo, yaweza kukweka matatizoni
Unatamani kuzaa, wakati bado upo shuleni...
Umesahau kuongezea kuwa unatamani sana kuwa na mtoto na nyumba nzuri na gari zuri....hahahah wasichana bana.
ndo unipe mchanganuo atakua ameanza std 1 na umri gani, hmna mtoto anayesailiwa darasa la kwanza na miaka 4 tusidangajaneMbona watu wanamaliza na 20 kaka....
Nina umri mdogo (21) namaliza degree mwaka huu.
Nina maono ya maendeleo lakini natamani sana kuolewa, times za usiku natamani ningekua na mwanaume wangu nimpe mzigo tena natamani kuzalishwa hata mwaka huu.
Hivi ninavyotamani ni kawaida au ni ujinga ninao?
siku hizi kweli umekua, huu ushauri umetuliaNi ujinga ulionao!Umri wako bado mdogo sana,kuwa na tamaa ya kugegedwa ni kawaida kwa umri wako lakini unatakiwa kuzishinda tamaa,utambue kuwa unatakiwa kuzingatia masomo kwanza sababu kuolewa kupo tu muda wowote unaweza kuolewa,tena utakapokuwa na elimu wanaume watakuja wa kila aina kazi itakuwa kwako ya kufanya uchaguzi!
Soma kwanza,acha ujinga