Tamaa Itanimaliza Jamani

Nina umri mdogo (21) namaliza degree mwaka huu.

Nina maono ya maendeleo lakini natamani sana kuolewa, times za usiku natamani ningekua na mwanaume wangu nimpe mzigo tena natamani kuzalishwa hata mwaka huu.

Hivi ninavyotamani ni kawaida au ni ujinga ninao?

Sikushauri,niliolewa na 22..mbali na kusimama masomo kuna changamoto nyingi sana ndani ya ndoa halafu akili yenyewe inakuwa bado ina utoto fulani..kama huna uvumilivu na hekima ya kiMungu,haki ya mama unaweza ukaimbia hyo ndoa ndani ya miezi 3 na mimba juu
 
^^
Maandalizi ya kutafuta mwenza wa kuhifadhi mitaani baada ya kuvurunda ipasavyo miaka mitatu chuoni
^^
 
Nina umri mdogo (21) namaliza degree mwaka huu.

Nina maono ya maendeleo lakini natamani sana kuolewa, times za usiku natamani ningekua na mwanaume wangu nimpe mzigo tena natamani kuzalishwa hata mwaka huu.

Hivi ninavyotamani ni kawaida au ni ujinga ninao?

Mungu mkubwa. Nimekua nikikuota muda mrefu, ndo hivyo nipm basi!
 
Sikushauri,niliolewa na 22..mbali na kusimama masomo kuna changamoto nyingi sana ndani ya ndoa halafu akili yenyewe inakuwa bado ina utoto fulani..kama huna uvumilivu na hekima ya kiMungu,haki ya mama unaweza ukaimbia hyo ndoa ndani ya miezi 3 na mimba juu

hahahahahaha,wanakimbilia wanafikiri asali?thts why am SINGLE
 
usiwe na shida...........inbox ipo hope kilio chako wameshakituliza vijana wa humu quitely............gently.............smoothly..........
 
usidanganyike kila jambo nawakati wake,ndo wakati wake kama kwel uko peke yako kwa muda wote huo,hata mm nimemaliza mwaka jana na kaz nimepata,ila nafil kama wewe,suala la kumaliz xkul halipingiki, utamaliza tu,na suala la nyumba au gar,si lazima lianze ndo kiu yako ije....mtafute tu,hata ss tuna kiu na bado tunasaka,ila si wa ovyo tuu!
 
Soma bibie soma... au unataka yakutokee yale ya
"Sifa ya Moyo Tamaa, Moyo Sifa yake kutamani
Tamaa ya moyo, yaweza kukweka matatizoni
Unatamani kuzaa, wakati bado upo shuleni...

Well said price, atumie akili kukataza kabla hajaingia matatizoni!
 
Umesahau kuongezea kuwa unatamani sana kuwa na mtoto na nyumba nzuri na gari zuri....hahahah wasichana bana.

Hehehehe mume awe na pesa
Aninunulie gari zuri tena x6 au v8 (sio niwe na gari tu ninunuliwe gari zuri) he he he umeua sana kaka
 
ndo unipe mchanganuo atakua ameanza std 1 na umri gani, hmna mtoto anayesailiwa darasa la kwanza na miaka 4 tusidangajane
 
Nina umri mdogo (21) namaliza degree mwaka huu.

Nina maono ya maendeleo lakini natamani sana kuolewa, times za usiku natamani ningekua na mwanaume wangu nimpe mzigo tena natamani kuzalishwa hata mwaka huu.

Hivi ninavyotamani ni kawaida au ni ujinga ninao?


utafiti unatafutwa huku!
 
Last edited by a moderator:
Ni ujinga ulionao!Umri wako bado mdogo sana,kuwa na tamaa ya kugegedwa ni kawaida kwa umri wako lakini unatakiwa kuzishinda tamaa,utambue kuwa unatakiwa kuzingatia masomo kwanza sababu kuolewa kupo tu muda wowote unaweza kuolewa,tena utakapokuwa na elimu wanaume watakuja wa kila aina kazi itakuwa kwako ya kufanya uchaguzi!

Soma kwanza,acha ujinga
siku hizi kweli umekua, huu ushauri umetulia
 
Back
Top Bottom