Umekubali baba yko Bazazi?
Umekuja kufanya nini huku? Unaenda kusema au?
aisee acha kabisaa, huyu baba mkwe starehe sana
Pendapenda Huyu sn tu!
ndo unipe mchanganuo atakua ameanza std 1 na umri gani, hmna mtoto anayesailiwa darasa la kwanza na miaka 4 tusidangajane