kauga JR
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 3,503
- 2,077
Umri wako ni tatizo pia, ukivuka utaachaNina umri mdogo (21) namaliza degree mwaka huu.
Nina maono ya maendeleo lakini natamani sana kuolewa, times za usiku natamani ningekua na mwanaume wangu nimpe mzigo tena natamani kuzalishwa hata mwaka huu.
Hivi ninavyotamani ni kawaida au ni ujinga ninao?