Dr.Mo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 3,809
- 1,653
...umenikumbusha haka kamziki katamu sana....Soma bibie soma... au unataka yakutokee yale ya
"Sifa ya Moyo Tamaa, Moyo Sifa yake kutamani
Tamaa ya moyo, yaweza kukweka matatizoni
Unatamani kuzaa, wakati bado upo shuleni...