Tamaa Itanimaliza Jamani

Tamaa Itanimaliza Jamani

Soma bibie soma... au unataka yakutokee yale ya
"Sifa ya Moyo Tamaa, Moyo Sifa yake kutamani
Tamaa ya moyo, yaweza kukweka matatizoni
Unatamani kuzaa, wakati bado upo shuleni...
...umenikumbusha haka kamziki katamu sana....
 
ukipata mtu MKAPENDANA ni vzr kuolewa...ila kama hujapata mtu MKAPENDANA usiolewe...uwe makini sana...utafujwa halafu baadae utaona maisha yako hayana thamani....watu hawajui tu hasa wasichana....km hujaingia kwenye mahusiano unakua na nguvu na maisha yako, unachagua kwa uhuru njia za kupita kwenye maisha, ila ukishaingia kwenye ahyo makitu au kuszalishwa..inakua taabu sana
 
Umesahau kuongezea kuwa unatamani sana kuwa na mtoto na nyumba nzuri na gari zuri....hahahah wasichana bana.

hahahaaa wewe watu8 nani asiyependa maisha mazur teh mwee ila bado mdogo jaman tumuulze anaishi mkoa gan coz kama ni mtwara au lindi ni halali aolewe kwa umri huo tena amechelewa sana
 
Dunia Ni yako chaguo Ni lako.

Halafu usirudie kusema Una umri mdogo!
 
Wanawake wazuri wameolewa na waliobaki ni MANUNGAYEMBE.

Wewe ukimaliza olewa na umpendaye itafika muda unatafuta wa kukuoa halaf wanakula mzigo na kusepa tu na utalea watoto ambao huna uhakika baba zao ni akina nani.
 
Ni UJINGA....kama kwenu wa kishua u may proceed mana hela za kuku-support mnazo,ila kama mtoto wa mkulima kaza shule,kazi ,biashara nk hadi kieleweke
 
hahahaaa wewe watu8 nani asiyependa maisha mazur teh mwee ila bado mdogo jaman tumuulze anaishi mkoa gan coz kama ni mtwara au lindi ni halali aolewe kwa umri huo tena amechelewa sana

Hahaha!!! tatizo huwa mnakuwa na matarajio makubwa wakati hatma ya maisha yenu inategemea wanaume kwa asilimia fulani...

Kitu muhimu ni kufanya mambo yako as if hakuna wanaume, kama ni shule soma na ustruggle kama wanaume wafanyavyo mwisho wa siku hakuna atayekubabaisha...
 
Nina umri wa miaka 23 na nina mawazo ya maendeleo ya kumzalsha mtoto mzuri kama percypat ndo namalizia degree yangu ya lugha kichina hapa Udom.Percypat bahati haiji mara mbili.
 
Hahaha!!! tatizo huwa mnakuwa na matarajio makubwa wakati hatma ya maisha yenu inategemea wanaume kwa asilimia fulani...

Kitu muhimu ni kufanya mambo yako as if hakuna wanaume, kama ni shule soma na ustruggle kama wanaume wafanyavyo mwisho wa siku hakuna atayekubabaisha...

aiseee hatari tupu hapa counseling inahtajika
 
Nina umri mdogo (21) namaliza degree mwaka huu.

Nina maono ya maendeleo lakini natamani sana kuolewa, times za usiku natamani ningekua na mwanaume wangu nimpe mzigo tena natamani kuzalishwa hata mwaka huu.

Hivi ninavyotamani ni kawaida au ni ujinga ninao?

Mbona uandishi wako unaonesha wewe ni mwanaume sema unazeveza tuuu
 
Nina umri mdogo (21) namaliza degree mwaka huu.

Nina maono ya maendeleo lakini natamani sana kuolewa, times za usiku natamani ningekua na mwanaume wangu nimpe mzigo tena natamani kuzalishwa hata mwaka huu.

Hivi ninavyotamani ni kawaida au ni ujinga ninao?



Kuliko utende dhambi ya ngono nakushauri uusikilize moyo wako,ikifaa kuolewa olewa tu ili mradi ujue kuwa elimu nayo ni muhimu maishani.
 
Back
Top Bottom