Sigonella Island
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 13,468
- 40,821
Katika hali isiyokua ya kawaida wapiganaji wa taleban Nchini Afghanistan wanaendelea kuonesha vituko vyao ambapo sasa wanaendesha Helicopters za kijeshi barabarani kama magari na imeshindwa kueleweka je wanaogopa kuruka nazo au hazina uwezo kuruka... Link hiyo jionee vituko..https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=1546582745696466&id=185128278508593