KERO Takwimu na hatua dhidi ya ajali za barabarani

KERO Takwimu na hatua dhidi ya ajali za barabarani

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Je, wahusika wa usalama barabarani wamejiwekea malengo gani kwenye kupunguza ajali za barabarani? Kwasababu, wanachi hatupewi takwimu zinazonesha kupungua kwa ajali za barabarani, hatua zinazochukuliwa dhidi ya wahusika wanaosababisha ajali ambazo zimekuwa zikitokea au mpango mkakati wa kupungua na kutokomeza ajali ambazo zimekuwa zikigharimu maisha yetu.
 
Kila mtu tanzania ambaye hana ulemavu wa viungo anaweza kuwa dereva bodaboda.
Hakuna monitoring yakujua huyu dereva afya yake ya akili ipoje?
Hakuna ufuatiliaji wa usalama na ubora wa pikipiki.
Nikawaida dereva bodaboda kutokutii sheria za usalama barabalani.
 
Back
Top Bottom