BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 4,229
- 5,266
Haya wadau, hivi karibuni kupitia usajili wa dirisha dogo tumeshuhudia timu za Simba na Yanga zikifanya usajili wa kuboresha timu zao.
Hapa nawaleta kwenu Baleke mchezaji wa Simba na Musonda wa Yanga ili tuwafananishe kwa takwimu na namna wanavyozutumikia timu zao.
Yalisemwa mengi na wahasimu wa timu hizi mbili kuhusu sajili za wachezaji hawa lakini wataalamu walisema mpira ni mchezo wa wazi na tumeshaanza kuwaona kwani kila mmoja ameshatumikia timu yake kwenye mechi moja ya NBC Premier League.
Je, yale majigambo yetu yalikuwa sahihi?!
OKW BOBAN SUNZU Mzee wa Takwimu
ANGALIZO:
Takwimu hizi ni kwa timu za kuanzia Premier na kuendelea..msituletee takwimu sijui mmecheza na Mbuni fc huko..hapana.
Hapa nawaleta kwenu Baleke mchezaji wa Simba na Musonda wa Yanga ili tuwafananishe kwa takwimu na namna wanavyozutumikia timu zao.
Yalisemwa mengi na wahasimu wa timu hizi mbili kuhusu sajili za wachezaji hawa lakini wataalamu walisema mpira ni mchezo wa wazi na tumeshaanza kuwaona kwani kila mmoja ameshatumikia timu yake kwenye mechi moja ya NBC Premier League.
Je, yale majigambo yetu yalikuwa sahihi?!
OKW BOBAN SUNZU Mzee wa Takwimu
ANGALIZO:
Takwimu hizi ni kwa timu za kuanzia Premier na kuendelea..msituletee takwimu sijui mmecheza na Mbuni fc huko..hapana.