Lovebird JF-Expert Member Sep 27, 2012 5,798 7,764 Dec 8, 2018 #1 Mazao ya muda mfupi, wangeweza toa onyo na kuyaacha yakastawi yakishavunwa WEKA uzio wa mita hizo 60. Tangu mwanzo mamlaka husika haikuona tatizo ama ndo mwaga mboga nami nimwage ugaliiiiiiiiiii Attachments maxresdefault-5-660x400.jpg 39.6 KB · Views: 21
Mazao ya muda mfupi, wangeweza toa onyo na kuyaacha yakastawi yakishavunwa WEKA uzio wa mita hizo 60. Tangu mwanzo mamlaka husika haikuona tatizo ama ndo mwaga mboga nami nimwage ugaliiiiiiiiiii
harder king JF-Expert Member Jan 21, 2017 3,970 6,898 Dec 8, 2018 #3 Sijawa kuona serikali yenye roho chafu kama hii ya sasa kwa kwel!
Ochumeraa JF-Expert Member May 18, 2015 4,504 5,707 Dec 8, 2018 #4 Wewe ndo utatuma Kimbola au? Kumbuka hii ni serikali ya wanyonge sasa hicho kimbola chako kisije kikadhuru watu
Wewe ndo utatuma Kimbola au? Kumbuka hii ni serikali ya wanyonge sasa hicho kimbola chako kisije kikadhuru watu
devor JF-Expert Member Oct 15, 2017 1,031 918 Dec 10, 2018 #6 Hao ni wa pumbavu ambao hukimbilia kutoa maamuzi sio sahihi