YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,906
KIKWETE alinifanya hata mimi niamini kuwa zile pesa hazikuwa za umma .Anyway kwa mara ya kwanza Kikwete alinifanya nielewe kuwa Raisi aweza pia kuwa muongo na tapeli.Kutuongopea watanzania mamilioni hakututendea hakiKwa jinsi Kikwete alivyotetea kwamba hz sio fedha za umma, itabidi basi Singasinga na Rugemalila wamuite mahakamani akawatetee. Afadhali nao sasa watapata mtetezi.