PreGE2025 TAKUKURU yataka uchaguzi ndani ya vyama uwe uhuru

PreGE2025 TAKUKURU yataka uchaguzi ndani ya vyama uwe uhuru

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Njombe imetoa wito kwa vyama vya siasa nchini kuhakikisha michakato ya uchaguzi wa ndani inafanyika kwa uhuru na haki, ili kupata viongozi waadilifu na walioko tayari kujitolea kuleta maendeleo bila kushawishiwa na vitendo vya rushwa.

Wito huo umetolewa Mei 28, 2025 na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Njombe, Kassim Ephrem, wakati wa kikao na vyombo vya habari kilicholenga kueleza mafanikio ya taasisi hiyo kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2025.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

“Ili tuwe na uchaguzi wa haki, ni lazima michakato ya ndani ya vyama iheshimu katiba, kanuni na sheria za nchi. Wanachama wasikubali kudhalilishwa kwa kupewa rushwa. Mtu akichaguliwa kwa njia ya rushwa, anapotwaa nafasi hufikiria namna ya kurudisha fedha alizotumia badala ya kuhudumia wananchi,” amesema Ephrem.

 
Kuna kitu wanataka kutamka wameanzia mbali sana leo nimewasikia sijui mabati yamenunuliwa chini ya kiwango mradi wa shule huko Katavi ila walikua China CAG alipotoa taarifa ya wizi wa Mali ya Umma..
 
Waanze na Boss wa nchi aliejitangaza mgombea pekee bila kushirikisha chama.
 
Hii haiwahusu wabunge waccm waliopo madarakani!

Tena wabunge wa viti maalum wa CCM wa mkoa wa Kilimanjaro,walisha maliza uchaguzi,kwani waliopo walisha maliza kuhonga,wanasubiri kurudi Dodoma kuapishwa tu
 
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Njombe imetoa wito kwa vyama vya siasa nchini kuhakikisha michakato ya uchaguzi wa ndani inafanyika kwa uhuru na haki, ili kupata viongozi waadilifu na walioko tayari kujitolea kuleta maendeleo bila kushawishiwa na vitendo vya rushwa.

Wito huo umetolewa Mei 28, 2025 na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Njombe, Kassim Ephrem, wakati wa kikao na vyombo vya habari kilicholenga kueleza mafanikio ya taasisi hiyo kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2025.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

“Ili tuwe na uchaguzi wa haki, ni lazima michakato ya ndani ya vyama iheshimu katiba, kanuni na sheria za nchi. Wanachama wasikubali kudhalilishwa kwa kupewa rushwa. Mtu akichaguliwa kwa njia ya rushwa, anapotwaa nafasi hufikiria namna ya kurudisha fedha alizotumia badala ya kuhudumia wananchi,” amesema Ephrem.

Labda Takukuru ya Norway, miongoni mwa walarushwa wakubwa ni Takukuru. Nadhani kabla ya Takukuru tulikuwa vizuri zaidi maana waliopo ni kama viwavijeshi wananjaa balaa
 
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Njombe imetoa wito kwa vyama vya siasa nchini kuhakikisha michakato ya uchaguzi wa ndani inafanyika kwa uhuru na haki, ili kupata viongozi waadilifu na walioko tayari kujitolea kuleta maendeleo bila kushawishiwa na vitendo vya rushwa.

Wito huo umetolewa Mei 28, 2025 na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Njombe, Kassim Ephrem, wakati wa kikao na vyombo vya habari kilicholenga kueleza mafanikio ya taasisi hiyo kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2025.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

“Ili tuwe na uchaguzi wa haki, ni lazima michakato ya ndani ya vyama iheshimu katiba, kanuni na sheria za nchi. Wanachama wasikubali kudhalilishwa kwa kupewa rushwa. Mtu akichaguliwa kwa njia ya rushwa, anapotwaa nafasi hufikiria namna ya kurudisha fedha alizotumia badala ya kuhudumia wananchi,” amesema Ephrem.

 

Attachments

  • 20250528_191328.jpg
    20250528_191328.jpg
    232.9 KB · Views: 18
Hivi Hawa Jamaa Wapo!???
Labda Takukuru ya Norway, miongoni mwa walarushwa wakubwa ni Takukuru. Nadhani kabla ya Takukuru tulikuwa vizuri zaidi maana waliopo ni kama viwavijeshi wananjaa balaa
Hii haiwahusu wabunge waccm waliopo madarakani!

Tena wabunge wa viti maalum wa CCM wa mkoa wa Kilimanjaro,walisha maliza uchaguzi,kwani waliopo walisha maliza kuhonga,wanasubiri kurudi Dodoma kuapishwa tu
Hiyo ni futuhi inayofaa kufuatiliwa na watazamaji wakati wanakunywa chai kwa matembele.
Thubutu! atatumbuliwa mchana kweupe
Mwenyekiti Wetu Wa Chumba Cha Giza Pale Dodoma Vp
 
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Njombe imetoa wito kwa vyama vya siasa nchini kuhakikisha michakato ya uchaguzi wa ndani inafanyika kwa uhuru na haki, ili kupata viongozi waadilifu na walioko tayari kujitolea kuleta maendeleo bila kushawishiwa na vitendo vya rushwa.

Wito huo umetolewa Mei 28, 2025 na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Njombe, Kassim Ephrem, wakati wa kikao na vyombo vya habari kilicholenga kueleza mafanikio ya taasisi hiyo kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2025.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

“Ili tuwe na uchaguzi wa haki, ni lazima michakato ya ndani ya vyama iheshimu katiba, kanuni na sheria za nchi. Wanachama wasikubali kudhalilishwa kwa kupewa rushwa. Mtu akichaguliwa kwa njia ya rushwa, anapotwaa nafasi hufikiria namna ya kurudisha fedha alizotumia badala ya kuhudumia wananchi,” amesema Ephrem.

Hamna uwezo wa kuingia kwenye milango ya CCM ambaye ndiye aliyewateua.
 
Heche au Wasira?
Nyie fanyeni maigizo tu na ma-ushungi wenu. Hamjui damage mnayoifanya kwenye nchi ya Tanzania. Si mmeamua kubadilisha uovu uwe ndiyo halali, na haki ndiyo iwe uovu? Madhara yake yatakuja kuwapata wengi wenu. Najua kuna wengi wanafaidika kwa ufisadi lakini hata hizo mali zitakuja kuwa za moto. Hili ni suala la muda tu.
 
Back
Top Bottom