TAKUKURU wamchefua Magufuli huko Dodoma

TAKUKURU wamchefua Magufuli huko Dodoma

Mtu anatoa rushwa mtera, kisha anakuja kukamatiwa Dodoma...[emoji53][emoji3525]
 
Tuweke ushabiki pembeni, magufuli ana mapungufu yake kama binadamu lkn ukiitazama speech ya leo utagundua huyu jamaa yuko vizuri, kuanzia dhamira yake na hata uwezo wake wa kukemea mambo ya kipumbavu kwa baadhi ya watendaji wake.
Amka wewe. Kwa nini hakukataa pendekezo la kujengwa uwanja wa ndege Chatto wakati Geita uwanja upo???

Kwa nini hakukataa kuitwa hifadhi Burigi chatto???

Kwa nini hakukataa ujenzi wa TRA Chatto? Crdb chatto???

Huu ni mwaka wa uchaguzi bwashee watu watavaa ngozi zote za kondoo wakati ndani ni Chui.

Huyo Mkurugenzi wa Takukuru kafeli kwenye kushindwa kutengeneza kesi dhidi ya Chadema basi.

Hakuna lolote hapo
 
Mkurugenzi wa Takukuru amefeli kwenye maelekezo aliyopewa ya kuwatafutia kesi Chadema. Kwa speech ya mzee leo imeonekana kabisa kuwa Mwanajeshi alisimama kwenye nafasi yake na akataka kufunga jalada la chadema.

Mzee Magu akifanya kitu lazimaga kiwe na sababu nyuma yake.
Kwahiyo wewe unaona hilo jengo lina thamani ya hiyo pesa au lina hadhi ya kuzinduliwa na Rais? TAKUKURU WAMECHEMKA
 
Mkurugenzi wa Takukuru amefeli kwenye maelekezo aliyopewa ya kuwatafutia kesi Chadema. Kwa speech ya mzee leo imeonekana kabisa kuwa Mwanajeshi alisimama kwenye nafasi yake na akataka kufunga jalada la chadema.

Mzee Magu akifanya kitu lazimaga kiwe na sababu nyuma yake.
Umeona mbali sana.
 
Mkurugenzi wa Takukuru amefeli kwenye maelekezo aliyopewa ya kuwatafutia kesi Chadema. Kwa speech ya mzee leo imeonekana kabisa kuwa Mwanajeshi alisimama kwenye nafasi yake na akataka kufunga jalada la chadema.

Mzee Magu akifanya kitu lazimaga kiwe na sababu nyuma yake.
Kwani ni lazima uongee kinyume na alichoongea Magu?
 
He! Kwani makonda ni nani? Ebu nijaribu kuvuta kumbukumbu....makonda..makonda...makonda.....aahaaaa! nimemkumbuka, ni yule.Bashite aliyekuwa mkuu wa mkoa wa DSM.
Yuko wapi huyu jamaa, nilishamsahau kabisa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] We jamaa wewe, akirudi kwenye reli this time utahama mji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji106]
 
Naona kaka yangu d. N ulibanwa na magu hapo
Ukambiwa ndomana mnene

Ova
 
Amka wewe. Kwa nini hakukataa pendekezo la kujengwa uwanja wa ndege Chatto wakati Geita uwanja upo???

Kwa nini hakukataa kuitwa hifadhi Burigi chatto???

Kwa nini hakukataa ujenzi wa TRA Chatto? Crdb chatto???

Huu ni mwaka wa uchaguzi bwashee watu watavaa ngozi zote za kondoo wakati ndani ni Chui.

Huyo Mkurugenzi wa Takukuru kafeli kwenye kushindwa kutengeneza kesi dhidi ya Chadema basi.

Hakuna lolote hapo
Geita hakuna ujenzi
 
Hiyo ofisini ya takukuru inatakiwa kufanyiwa overhaul.
 
Dhambi ni ugonjwa mbaya sana.

Mkamata rushwa naye ni mla rushwa. Mkamata mafisadi naye ni fisadi!
hopeless kabisa.


JESUS IS LORD!

Kila siku nasema, Takukuru ni sehemu ya rushwa nchi hii. Kuna yule boss wao anavaa zile nguo za jeshi, niliwahi kusema arudi jeshini maana huku kwenye kazi za kiraia ataishia kuchafua taswira ya jeshi letu. Katika taasisi za umma zilizobaki na heshima yake kwa kiwango fulani ndani ya nchi hii, ni jeshi la wananchi. Lakini kitendo cha kuingizwa kwenye siasa tutaishia kuwadharau kama polisi.
 
He! Kwani makonda ni nani? Ebu nijaribu kuvuta kumbukumbu....makonda..makonda...makonda.....aahaaaa! nimemkumbuka, ni yule.Bashite aliyekuwa mkuu wa mkoa wa DSM.
Yuko wapi huyu jamaa, nilishamsahau kabisa!!
Umemsahau?
Subiri baada ya uchaguzi utaon impacts yake
 
Sasa si bora makao makuu ikae kwenye lile jengo lao pale jirani na Jamhuri stadium. Au pale wamekodi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] We jamaa wewe, akirudi kwenye reli this time utahama mji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji106]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndiyo imetoka hiyo. Mwana kali-find mwana kali-get!!
 
Back
Top Bottom