Kwa madai ya askofu Gwajima ni kwamba kuna viongozi walipokea hongo ili chanjo ije, na akauliza walihongwa kiasi gani hicho mpaka kuwauza watanzania?
Askofu alidai pia viongozi hao wamechanjwa chanjo feki ili kuwahadaa wananchi.
Sasa basi kwakuwa Tayari Waziri kaelekeza TAKUKURU mumkamate na mumuhoji athibitishe hoja zake basi tunaomba askofu akileta list ya wale waliopokea hongo msiwaonee haya kuwakamata, awe waziri au kama alihusika kupokea hongo akamatwe na achukuliwe hatua.
Tunaimani na TAKUKURU lakini tunaomba mtwambie ni lini mtamkamata maana naona imefika jioni hatuna taarifa ya kukamatwa kwakwe.
Askofu alidai pia viongozi hao wamechanjwa chanjo feki ili kuwahadaa wananchi.
Sasa basi kwakuwa Tayari Waziri kaelekeza TAKUKURU mumkamate na mumuhoji athibitishe hoja zake basi tunaomba askofu akileta list ya wale waliopokea hongo msiwaonee haya kuwakamata, awe waziri au kama alihusika kupokea hongo akamatwe na achukuliwe hatua.
Tunaimani na TAKUKURU lakini tunaomba mtwambie ni lini mtamkamata maana naona imefika jioni hatuna taarifa ya kukamatwa kwakwe.