zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Rushwa ya wazi kabisa imekithiri pale eyapoti ya Dar, upande wa Cargo.
Kwanza unaanza kutishwa na customofficer wakati anakuwa mizigo yako. Kuwa hii ushuru wake kiasi kadhaa... anakutajia ushuru mkubwa kiasi cha kukutisha. ''fanya maarifa tukusaidie''. Custom Officer akisha kutajia mfano, ushuru wa huu mzigo wa utakuwa ''million 2'', kwa hiyo kabla sijajaza hizi document zako, ''jee upo tayari kutowa nusu yake'' nikusaidie? Anakuweka katika jeoparedy kuwa yeye anakusaidia! ilhali niuongo mtupu anata kukula tu. At the same time anaanza kukutisha akishirikiana na clearing agent wako, kwa kuwa si wengi wenye ma permenent clearing agents, kwamba mnhhh tena huu mzigi inabidi upite ''tiskan'' na huko utachukuwa siku mbili tatu, kwa hiyo storage itazidi. Ukifikiria, umetoka zako Sumbawanga, umeletewa ka LCD TV na mwanao, nduguyo au umekaagiza mwenyewe kwa mtandao kutoka nje, gharamaza kukaa hoteli, ungoje na ''tiscan'' siku mbili au tatu, na ushuru ndio hivyo, utakuwa million mbili! Jee, ufanye nini? hata kama si mpenda kutowa rushwa, sistem ya utowaji mizigo ilipangwa ni ya makusudi kabisa ya kukufanya uitowe hiyo rushwa ukita usitake.
Nauliza hivi? wale TAKUKURU, UWT, TRA, wanaobidi wawepo pale kuangalia mambo kama haya hayatokei na kuweka mfumo utayozuwiya hayo, wako wapi? au wote ndio wanakatiana?
TAKUKURU,bila kuanza kufanya kazi zenu kwa makini, si kungoja kuletewa taarifa za rushwa au kubambikia watu, kuboresha na kushauri namna za kufanya, prosesi nzima ya utowaji mizigo pale eyapoti inatakiwa ifanywe upya ili kuzuwiya haya mambo, hamtakuwa mmefanya kitu.
Nenda nchi za nje dakika kumi kwa mizigo midogo na saa moja kwa mizigo mikubwa inakuwa imeshatoka cargo za eyapoti, wanatushinda nini? Kompyuta tunazo, mizigoiko palepale, custom wako palepale, kama huko nje wanaweza sisi tunashnwaje? simpo, wanaopnaga namna ya utowaji mizigo pale eyapoti, wanafanya makusudi. Wanajuwa kinachoendelea, lakini hawataki kubadili mfumo ili waneemeke kwa rushwa na kuwaumiza wananchi kwa wizi wao.
JMK, badilisha wote pale, chukuwa maofisa ushuru, toka nje ya Tanzania uwaweke pale. wa Tanzania tu wajinga wa rushwa na kutakautajiri wa haraka kiharamu! tunauwa na kuharibu kila sehemu tunayowekwa. au Simpo, weka sheria ya kupigwa ya kupigwa risasi hadharani wala rushwa, kama China. Ukisha wa banjuwa risasi maofisa wa TRa wawili wa Tatu, wa kwanza wawe wao kwani ndio wanaopokea mishahara mikubwa kuliko idara yoyote ya serikali. Halfu tuone wataendelea na rushwa? wakiendelea kunyuga wengine risasi bila huruma. La sivy, tutabali kulalama tu.
Au iundwe skwadi ya siri, inalamba wala rushwa risasi bila kupelekwa mahakamani wala kujulikana nani kawalamba risasi, wanaachiwa karatasi ya makosa yao wanaposhughulikiwa, uone kama kuna hata raia atalalamika. Atakae lalamika na yeye ndio ujuwe katika hao hao, mkunyuge na yeye risasi. Simpo!
Kwanza unaanza kutishwa na customofficer wakati anakuwa mizigo yako. Kuwa hii ushuru wake kiasi kadhaa... anakutajia ushuru mkubwa kiasi cha kukutisha. ''fanya maarifa tukusaidie''. Custom Officer akisha kutajia mfano, ushuru wa huu mzigo wa utakuwa ''million 2'', kwa hiyo kabla sijajaza hizi document zako, ''jee upo tayari kutowa nusu yake'' nikusaidie? Anakuweka katika jeoparedy kuwa yeye anakusaidia! ilhali niuongo mtupu anata kukula tu. At the same time anaanza kukutisha akishirikiana na clearing agent wako, kwa kuwa si wengi wenye ma permenent clearing agents, kwamba mnhhh tena huu mzigi inabidi upite ''tiskan'' na huko utachukuwa siku mbili tatu, kwa hiyo storage itazidi. Ukifikiria, umetoka zako Sumbawanga, umeletewa ka LCD TV na mwanao, nduguyo au umekaagiza mwenyewe kwa mtandao kutoka nje, gharamaza kukaa hoteli, ungoje na ''tiscan'' siku mbili au tatu, na ushuru ndio hivyo, utakuwa million mbili! Jee, ufanye nini? hata kama si mpenda kutowa rushwa, sistem ya utowaji mizigo ilipangwa ni ya makusudi kabisa ya kukufanya uitowe hiyo rushwa ukita usitake.
Nauliza hivi? wale TAKUKURU, UWT, TRA, wanaobidi wawepo pale kuangalia mambo kama haya hayatokei na kuweka mfumo utayozuwiya hayo, wako wapi? au wote ndio wanakatiana?
TAKUKURU,bila kuanza kufanya kazi zenu kwa makini, si kungoja kuletewa taarifa za rushwa au kubambikia watu, kuboresha na kushauri namna za kufanya, prosesi nzima ya utowaji mizigo pale eyapoti inatakiwa ifanywe upya ili kuzuwiya haya mambo, hamtakuwa mmefanya kitu.
Nenda nchi za nje dakika kumi kwa mizigo midogo na saa moja kwa mizigo mikubwa inakuwa imeshatoka cargo za eyapoti, wanatushinda nini? Kompyuta tunazo, mizigoiko palepale, custom wako palepale, kama huko nje wanaweza sisi tunashnwaje? simpo, wanaopnaga namna ya utowaji mizigo pale eyapoti, wanafanya makusudi. Wanajuwa kinachoendelea, lakini hawataki kubadili mfumo ili waneemeke kwa rushwa na kuwaumiza wananchi kwa wizi wao.
JMK, badilisha wote pale, chukuwa maofisa ushuru, toka nje ya Tanzania uwaweke pale. wa Tanzania tu wajinga wa rushwa na kutakautajiri wa haraka kiharamu! tunauwa na kuharibu kila sehemu tunayowekwa. au Simpo, weka sheria ya kupigwa ya kupigwa risasi hadharani wala rushwa, kama China. Ukisha wa banjuwa risasi maofisa wa TRa wawili wa Tatu, wa kwanza wawe wao kwani ndio wanaopokea mishahara mikubwa kuliko idara yoyote ya serikali. Halfu tuone wataendelea na rushwa? wakiendelea kunyuga wengine risasi bila huruma. La sivy, tutabali kulalama tu.
Au iundwe skwadi ya siri, inalamba wala rushwa risasi bila kupelekwa mahakamani wala kujulikana nani kawalamba risasi, wanaachiwa karatasi ya makosa yao wanaposhughulikiwa, uone kama kuna hata raia atalalamika. Atakae lalamika na yeye ndio ujuwe katika hao hao, mkunyuge na yeye risasi. Simpo!