TAKUKURU Tabora yamsaka Paul Christian kuhusiana na tuhuma za cheti feki

Wanangaika na mwenye cheti halali wakati tapeli na mwizi mkubwa hapa nchini yuko Ilala anapulizwa na kiyoyonzi.
 
Mkuu kila kazi zina taratibu zake. Watakapompata mwenye vyeti mhusika halisi wa vyeti, yeye ndiye atawasaidia kumhoji huyo mtuhumiwa, ikiwa kuna u serious katika hili. Let's wait and see, but the move is ok.

Hivi wewe huko kichwani una akili au matope?!
 
Lazima Bashite awe Mkuu wa Mkoa, lazima Bashite asafishwe, lazima Bashite aendelee kupeta kwenye awamu hii , hivyo huyo aliempa cheti ajiandae tuu kisaikolojia au familia ijiandae. Pale huwezi kugusa kama huamini muulize mtoto wa Mnauye.
 
sijui nifahamishe , na kama hiyo reliability mbona wana itest upande mmoja tu ? mbona hawaendi kwa daud albert kumuuliza inorder to get full insight

reliability means a degree of accuracy (similarities) au variation. Kuna namna nyingi za kuangalia uhakika wa matokeo, mfano kuuliza mara nyingi katika mida tofauti kuangalia kama maelezo yanafanana. Au watu tofauti kuuliza kitu kile kile katika mida tofauti na kuangalia kama matokeo yanafanana, na kwa kiasi gani yanafanana.

Pia ukute katika analyses zao kunaibuka maswali hivyo inabidi mwamwite tena ili ayajibu.
 
Soma uelewe manamayo, Kinehe.!

Mola duh. Neno kubwa kwenye heading ''kumsaka'' wakati wamekuwa wakiwasiliana na kukutana na kufanya maongezi na ofisi yake wanaifahamu na director wake wanamfahamu. Tena paragraph ya kwanza wanasema 'bila mafanikio'.
 
Kwa muda ulivo pita tangu sakata la cheti chenye jina hili kutajwa, napata kigugumizi kama kuna ufatiliaji hapo. Nahisi game limechezwa na hapo ni zuga tu la dola.
 
Rushwa inazidi kushamili halafu TAKUKURU wamekalia kudandia mambo yasiyowahusu. Kupata sifa za kijinga tu. Kugushi vyeti?!!
 
Back
Top Bottom