TAKUKURU Tabora yamsaka Paul Christian kuhusiana na tuhuma za cheti feki

Mkuu wa mkoa anaitwa Paul Christian Makonda (Zamani akisoma Pamba Secondari = Daud Albert Bashite) [HASHTAG]#Gwajima[/HASHTAG].
Mtangazaji anaitwa Paul Christiani Maranja

Mahojiano ya nini tena?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Haya mambo ni maajabu sana... HIVI umkute MKEO NA DUME GUEST..ndani jamaa AMESHA MENG'ENYUWA MKEO... badala ya KUFANYA MAAMUZI...ya KIUME...eti unamsaka SHOGA wa mkeo ndy aliyesababisha kumkuwadia MKEO kwa hilo DUME...hiyo haipo sawa...BWANA bashite yupo...vyeti fake anavyo...kwann hamumgusi mnataka kumsumbuwa PAUL CHRISTIAN?
 
Vyeti feki kwa maana ya kughushi na kumiliki au kutoa cheti orijino kwa mtu mwingine akitumie kupata masomo zaidi na ajira?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mkuu wa mkoa wa DSM anaitwa Paul Makonda. Hatuna mkuu wa mkoa ambaye anaitwa Bashite hapa Tanzania.....hayo mengine ni mayowe tu hadi itakapothibitishwa na mamlaka husika kwamba mkuu wa mkoa amebadili jina. Kwasasa hatuna kabisa mkuu wa mkoa mwenye jina hilo la Bashite hapa Nchini
 
Masikini huyu kijana I know him!!!
Ni mtangazaji wa station moja ya radio.
Yani cheti chake halafu awe na makosa.
Hapo ndo watu watamkubali JPM, yeye alishatoa msamaha hadi tarehe 15 may wenye vyeti feki waondoke. Kaona Bashite hajaondoka na ni mteule wake kaagiza vyombo viwasake na ili iwe rahisi Bashite kutimua mbio kaona amkamate mwenye cheti ili Bashite aitwe mahakamani kama shahidi tuone kama ataenda kusema yeye bashite ndo paul christian halali. JPM tingatinga.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hii ni kwa mujibu wa gazeti Mtanzania la leo May 18.

Nakumbuka huyu ndiye jina na vyeti vyake vinahusishwa na Mkuu wa mkoa mmoja hapa nchini.

Ngoja tuone maendeleo yake!
Nadhani sasa tutapata mchanga wa dhahabu shaka yangu ni haki kutotendeka
 
Hapana mkuu, huyo Paul Christian anaingia katika sakata hilo kwa kushirikiana na mtuhumiwa kupeana vyeti au cheti. Mtu akipatikana anatumia cheti au vyeti vyako, yeye ataingia kwenye hatia na wewe pia mwenye vyeti utaingia kwenye hatia. Jinsi ilivyo inaonekana inakua treated kama RUSHWA.
Mmmmnnhhh....mbona huko mawizarani wakikuta cheti kinatumiwa na mtu zaidi ya mmoja hawawaiti takukuru...???!!! na kuna case nyingi tu ...wanawaambia wahusika walete original...ambaye si chake anaingia mtini...wala hakuna anayemtafuta awape story alikipataje...na mmiliki halali kuulizwa kilifikaje kwa x....


Kwa ufupi ni ngumu kumkamata owner hata kama kakiuza...atasema sijui...
Kuna njia nyingi za mtu kupata copy ya cheti cha mtu...anaweza hata waomba masijala wampe copy ya cheti chochote...kukana ni very easy...

Au unaenda mahali kutoa photo copy wao wanatoa extra...ngumu kumkamata true owner...
 
Back
Top Bottom