KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,455
- 5,460
Mnawaonea wivu Tiss na Takukuru c muombe ajira nanyi muajiriwe wivu tu tena wa kike wakijinga!
Mara nyingi ajira katika Taasisi hizi, na hasa TISS hutolewa kwa kujuana. Kama baba, mjomba wako au ndugu yako si mwajiriwa katika taasisi hiyo sahau kabisa kupata ajira. Zipo fomu ambazo utatakiwa kujaza, zingine uwape watu wanaokufahamu wazijaze wakitoa mapendekezo yao kuhusu wewe kuajiriwa katika hiyo taasisi. Mwisho wa siku vyote hivyo hupelekwa huko TISS ili kuwapata hao wanaofaa kuajiriwa. Haishangazi basi kuona ajira inakuwa ni kwa familia na koo fulani fulani. Hali kama hii hujitokeza pia katika majeshi yetu! Motokeo yake ndiyo hayo tunayoyaona.