kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,809
Mkuu mwaga hapa tupate faida wote, kuficha ficha tunazid kuliangamiza kanisa hili ambalo msingi wake mkubwa ni kueneza injili, ndo maana kuna idara kama CGM, WWI n.k. Muda wa kuficha ficha sio sasa.Chabusalu:
Tatizo ni la kiuongozi na kukosa transparency.
1. Katika mikutano mikuu yote ndiko ambapo maswali na hoja zozote hujibiwa. Jambo hilo halifanyiki. Mara nyingi ikitokea hoja yoyote ambayo inagusa uongozi haijibiwi na unaamulishwa kukaa chini.
2. Kuhusu magari tupeane mawasiliano njoo nikuonyeshe ushahidi.
3. Taasisi yoyote huwa ina TIN namba moja njoo nikuonyeshe Tin namba 5 za dhehebu hili ambazo zimetumika.
4. Kuhusu majengo tangu yamenunuliwa na kukodishwa hakuna taarifa yoyote ya mapato wala matumizi. Na mengine mengi.
Kwa taarifa yako siongei hadithi ya kusimuliwa, mimi ninajua nina chokisema
Ndo maana nimekwambia kama kweli unataka ukweli na ushahidi wa jambo hili nitafute.