Si kitu kibaya kutaja majina lakini juzi kulikuwa na debate nzuri sana BBC kuhusu new media yaani webblog na responsibility. Unajua hivi sasa Jamboforums is part of Tanzanian media, whether we accept it or not. Kwa kuwa tunapata habari hapa so it is chombo cha habari. Sasa katika traditional media, kuna editor, kuna researcher na owner or publication is liable. In the case of the blog, mambo ni tofauti, and it is up to the reader to sort out facts from fiction and half baked truths. Pia ni rahisi kwa blog kutumika kama revenge machine ya mtu dhidi ya mwenzake. So we have to set rules and then adhere to them.
Nimeona kwamba kumekuwa na kajitendency hivi karibuni hapa JF watu kuandika udaku alafu kuingia mitini. Inabidi tuchunge sana dhidi ya umbea kama huu.
Overall nadhani with time we will manage to police ourselves na newcomers will get the hang of it. Otherwise nakubali kabisa kwamba majina yatajwe kama kuna uthibitisho wa facts, ili sote tufahamu nani anazungumziwa na siyo kukisiakisia.