Bismack JF-Expert Member Mar 12, 2018 387 487 Apr 12, 2018 #1 Kwa mimi Serikali ikiondoa unywaji wa bia hasa Safari kiukweli nitaumia sana mana hii ndo faraja yangu.
Kwa mimi Serikali ikiondoa unywaji wa bia hasa Safari kiukweli nitaumia sana mana hii ndo faraja yangu.
Mwana Mtoka Pabaya JF-Expert Member Apr 22, 2012 15,118 16,470 Apr 12, 2018 #5 Starehe nayoipenda serikali haina ubavu wa kuiondoa, labda Mungu atake.
Hannover JF-Expert Member Jul 28, 2017 437 548 Apr 12, 2018 #8 wakiondoa kubet au kuangalia mpira ntahama tz
rhymson Senior Member Nov 17, 2017 144 113 Apr 12, 2018 #9 Hakuna kabisa starehe ninayo ipenda wanaweza kuindoa
SK2016 JF-Expert Member Apr 6, 2017 7,971 13,662 Apr 12, 2018 #12 Wakihamisha wanawake wote Tz, nahamia kwa King Mswati.
katoto kazuri JF-Expert Member Feb 10, 2018 6,083 5,659 Apr 12, 2018 #14 Jaby'z said: wakifungia pombe+papuchi ntawaroga Click to expand... kazi ipo walahi
kisikiji JF-Expert Member Feb 2, 2015 2,530 2,494 Apr 12, 2018 #16 Okoka mkuku, huko kuna burudani ya kudumu