Taja sifa za madereva bodaboda

Taja sifa za madereva bodaboda

101 East

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2015
Posts
1,057
Reaction score
2,244
Hakika sekta ya usafirishaji imetoa ajira nyingi sana kwa Vijana hususani upande WA pikipiki za bodaboda. Lakini bodaboda kama kazi zingine kuna faida na hasara,lawama na sifa, majigambo na majuto.

Leo tuangalie sifa za ndugu zetu bodaboda

Twende kazi na Karibuni

images%20(2).jpeg
DSC_0222.JPG
images%20(1).jpeg
images.jpeg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwamba wanachomekea Sana unaweza kumbutua, Anaweza kupita na Side mirror yako , Wengine wezi Usiku wanabebana Wewe fungua kioo alaf chezea kisimu chako wanapit nacho,
Wale Boda boda wa kwnye Nyomi la watu Naonaga ndio wajanja
Kkoo, makumbush, tandika,mbagala stendi nk
Wale wa mitaani ni ubishoo na kubeba mademu tuu
 
Wengi huwa ni ma 'conversationalist' wazuri sana.
Yaani BodaBoda na Story ni combo moja matata sana.

Awe anakufahamu au hakufahamu, ataanzisha topic from anywhere.. iwe siasa..dini..technology..story za kitaa etc na hatakama utakuwa hujamsikia vizuri na unamuitukia tu yeye ataendelea na story.

Alaf hizi story huwa zinakata without notice maana unapofika tu akikushusha ndio finíto.

Mungu abariki kazi ya mikono ya madereva hawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata km hakujui ukishapanda tu story sijui inaanzia wapi yaani mpaka mwisho wa safari yako unajikuta ulikuwa tu unaitikia au kucheka basi ili mradi ufike utakapo.


Bodaboda qetu tukipanda msiongeeongee mnatutoa kwenye mstari mawazo yetu.



Kingine,,, umeshapanda utaona anarekebisha kioo ili akufaidi vizuri.

Kuna mmoja nilipanda akarekebisha kilo nikajisemea hiyo tabia hata Mimi ninayo nikipakia rafk zangu kwenye gari huwaga narekebisha kile kioo cha kuangalizia nyuma kinacho kaaga ndani ili niwachore wanajifeel vipi. Sasa huyu boda mi ñkawa napepesa macho mwingine mnaangalia watu wengine tukafika pahala alibinya break kaliii nikamlaliaaa sa nkamwambi vipiiiii,, eti bahati mbaya kumbe jamaa alikereka alipokuwa ananichabo kwenye kioo aliona nampungia mkono jamaa mmoja wa kwenye gari.
 
Hata km hakujui ukishapanda tu story sijui inaanzia wapi yaani mpaka mwisho wa safari yako unajikuta ulikuwa tu unaitikia au kucheka basi ili mradi ufike utakapo.


Bodaboda qetu tukipanda msiongeeongee mnatutoa kwenye mstari mawazo yetu.



Kingine,,, umeshapanda utaona anarekebisha kioo ili akufaidi vizuri.

Kuna mmoja nilipanda akarekebisha kilo nikajisemea hiyo tabia hata Mimi ninayo nikipakia rafk zangu kwenye gari huwaga narekebisha kile kioo cha kuangalizia nyuma kinacho kaaga ndani ili niwachore wanajifeel vipi. Sasa huyu boda mi ñkawa napepesa macho mwingine mnaangalia watu wengine tukafika pahala alibinya break kaliii nikamlaliaaa sa nkamwambi vipiiiii,, eti bahati mbaya kumbe jamaa alikereka alipokuwa ananichabo kwenye kioo aliona nampungia mkono jamaa mmoja wa kwenye gari.
Ulivyo muegemea ukamgusisha kidgo mtindi mgongoni ausio
 
Back
Top Bottom