Taja sifa za madereva bodaboda

Taja sifa za madereva bodaboda

eti wawili tu , wenzao ma dereva tax huwa wapo smart mno yani unamkuta kapiga shati lake kubwa la mtumba na suruali vimenyooshwa safi kabisa
Boda wanajichukulia poa..hawajui usmart pia uvutia wateja.
Yani nikiwakosaga hao wawili nakosa raha..mambo ya nikulipe na bado unikere na miharufu siyataki mie.
 
Hivi ni lazma ukiwa dereva boda boda ujitoe fyuzi kichwani
 
Camel cement mbagala moja
20201017_120231.jpg
 
watunzaji wazuri wa siri, na mabalozi wa ASAS za kiraia
 
Yani nasikitika kusema bodaboda ni WAMBEYA zaidi kuliko hata wanawake.
 
Wanawapuliza sana wake za watu haswa wale wanawake wanaopenda miteremko
 
Wambea balaaa inabidi unakuwa na boda yule wa mtaani na yule boda sio wa mtaa huo unaoishi
 
Wengi ni wavuta bangi wanatoa harufu mbaya. Halafu ni wajeuri
 
Back
Top Bottom