Wana jf hebu tuanze kuijadili katiba iliyopo kama kweli tunaijua. Maana wengi wanasema tu katiba mpya wakati hata iliyopo hawajui. Katiba ya marekani imetungwa 1786 na zimefanyika amendment 26 tu ya mwisho ilikuwa 1992. Je katiba yetu inamapungufu yapi mpaka tuifanyie overwhole. Katiba ikibadishwa yote na sheria lazima zibadilike so sio jambo just over night. Let us see if we really know our katiba.