Taja kitu kimoja kizuri ambacho ex wako alikuwanacho

Taja kitu kimoja kizuri ambacho ex wako alikuwanacho

luse

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2012
Posts
592
Reaction score
1,048
Mara nyingi watu wanapokuwa wanazungumzia ma ex wako, huwa wanawazungumzia in a bad light. Mara utasikia wakisema ex wao alikuwa mchoyo, katili, hajui kucare, machafu, mbahili, muongo, mchunaji n.k

Mara chache sana utasikia mtu akimzungumzia ex wake in a good light, e.g ex wake alikuwa mpole, mkarimu, anajua kuonyesha upendo, ana heshima n.k

Sasa leo jaribu kutaja atleast kitu kimoja kizuri ambacho ex wako alikuwa nacho. Name one good thing about your ex. Lets discuss...
 
Back
Top Bottom