Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
baada ya kumaliza vurugu huko Zanzibar, magazeti yote yalielekeza macho na kalamu yao huku TZBARA.
ukiangalia magazeti mengi, harakati za taasisi za Kiislam kama BAKWATA na jumuia za kiislam nyengine zilizokuwa katika harakti zao kama taasisi nyengine za kidini. Ukisoma nipashe, habarileo, majira, mwananchi, Mtanzania, uhuru, Jamboleo, Majira yamejaribu kuonyesha angalau nini kinaendelea
Palikuwa na Kongamano kubwa hapo Diomond Jubilee kuhusu Katiba mpya, sensa, sakata la Necta na hali ya Zanzibar.
kwa bahati nzuri magazeti yote yalitoa taarifa hizo kwa mtazamo wao.
Lkn TZDAIMA Licha ya kuwa na waandishi wengi kama waliowatuma ZANZIBAR, haijawhi kutoa au kupasha habari zinazohusu waislam tangu kumaliza Sakata la Uchomaji wa Makanisa ambapo gazeti hilo lilikuwa ni moja ya magazeti ACTIVE ktk swala zima la Zanzibar.
MTAZAMO WANGU
Binafsi naamini kila gazeti linamtazamo wake wa kutoa na kupasha habari, ndio maana Magazeti kama Msemakweli, Kiongozi , annur na Kisiwa yanajulikana jinsi ya wanavyotoa habari yao
Lkn magazeti yanayojulikana sio ya Kidini linapotokea tukio kama hili pana haja ya kuuliza.
INGALIKUWA tzdaima haihandiki maswali ya taasisi kidini hapa pangalikuwa hakuna haja ya
Kuhoji.LKN tukio la Zanzibar ilivyolemea kuna haja ya kuhoji
Jee kumezidi nini ndani ya tzdaima?
Jee chadema Ikipata tv yake, mambo yatakuwa kama haya ya tzdaima? na kwa faida ya nani?
ukiangalia magazeti mengi, harakati za taasisi za Kiislam kama BAKWATA na jumuia za kiislam nyengine zilizokuwa katika harakti zao kama taasisi nyengine za kidini. Ukisoma nipashe, habarileo, majira, mwananchi, Mtanzania, uhuru, Jamboleo, Majira yamejaribu kuonyesha angalau nini kinaendelea
Palikuwa na Kongamano kubwa hapo Diomond Jubilee kuhusu Katiba mpya, sensa, sakata la Necta na hali ya Zanzibar.
kwa bahati nzuri magazeti yote yalitoa taarifa hizo kwa mtazamo wao.
Lkn TZDAIMA Licha ya kuwa na waandishi wengi kama waliowatuma ZANZIBAR, haijawhi kutoa au kupasha habari zinazohusu waislam tangu kumaliza Sakata la Uchomaji wa Makanisa ambapo gazeti hilo lilikuwa ni moja ya magazeti ACTIVE ktk swala zima la Zanzibar.
MTAZAMO WANGU
Binafsi naamini kila gazeti linamtazamo wake wa kutoa na kupasha habari, ndio maana Magazeti kama Msemakweli, Kiongozi , annur na Kisiwa yanajulikana jinsi ya wanavyotoa habari yao
Lkn magazeti yanayojulikana sio ya Kidini linapotokea tukio kama hili pana haja ya kuuliza.
INGALIKUWA tzdaima haihandiki maswali ya taasisi kidini hapa pangalikuwa hakuna haja ya
Kuhoji.LKN tukio la Zanzibar ilivyolemea kuna haja ya kuhoji
Jee kumezidi nini ndani ya tzdaima?
Jee chadema Ikipata tv yake, mambo yatakuwa kama haya ya tzdaima? na kwa faida ya nani?