baada ya kumaliza vurugu huko Zanzibar, magazeti yote yalielekeza macho na kalamu yao huku TZBARA.
ukiangalia magazeti mengi, harakati za taasisi za Kiislam kama BAKWATA na jumuia za kiislam nyengine zilizokuwa katika harakti zao kama taasisi nyengine za kidini. Ukisoma nipashe, habarileo, majira, mwananchi, Mtanzania, uhuru, Jamboleo, Majira yamejaribu kuonyesha angalau nini kinaendelea
Palikuwa na Kongamano kubwa hapo Diomond Jubilee kuhusu Katiba mpya, sensa, sakata la Necta na hali ya Zanzibar.
kwa bahati nzuri magazeti yote yalitoa taarifa hizo kwa mtazamo wao.
Lkn TZDAIMA Licha ya kuwa na waandishi wengi kama waliowatuma ZANZIBAR, haijawhi kutoa au kupasha habari zinazohusu waislam tangu kumaliza Sakata la Uchomaji wa Makanisa ambapo gazeti hilo lilikuwa ni moja ya magazeti ACTIVE ktk swala zima la Zanzibar.
MTAZAMO WANGU
Binafsi naamini kila gazeti linamtazamo wake wa kutoa na kupasha habari, ndio maana Magazeti kama Msemakweli, Kiongozi , annur na Kisiwa yanajulikana jinsi ya wanavyotoa habari yao
Lkn magazeti yanayojulikana sio ya Kidini linapotokea tukio kama hili pana haja ya kuuliza.
INGALIKUWA tzdaima haihandiki maswali ya taasisi kidini hapa pangalikuwa hakuna haja ya
Kuhoji.LKN tukio la Zanzibar ilivyolemea kuna haja ya kuhoji
Jee kumezidi nini ndani ya tzdaima?
Jee chadema Ikipata tv yake, mambo yatakuwa kama haya ya tzdaima? na kwa faida ya nani?
kwa hivyo matukio ya waislam ndani ya tzdaima ni madudu. Lkn ya wakiristo ni hot news? Kama ndio hivuyo tzdaima ilaaniwe kwa nguvu zotekosa la tz daima lipo wap? Kwani mnafanya madudu ya kipuuzi na kupoteza muda diamond jublee kwa madai ambayo yamekwisha tolewa maelezo alafu mnataka muandikwe magazetin? Huo ni upofu wa kufikiri.
Kukizungumzia sana kitu nayo nisababu ya kuchochea,safi sana tzdaima. Unapenda watu tuendelee kuzungumzia udini tu kila siku. Kuna mambo mengi ya kuandika siyo kila siku uchomaji wa makanisa au uamsho.hujui kuandikwa kila siku habari za udini zina leta chuki mbaya baini ya watu?
BOKO HARAMU BWANA
kumbe muhariri wake ndio hao? Mbona nasikia la chadema? Kuna uhusiano gani kati ya chadema na kanisa?we mgeni?
Tanzania daima ni sawa na msema kweli, nyakati etc
kumbe muhariri wake ndio hao? Mbona nasikia la chadema? Kuna uhusiano gani kati ya chadema na kanisa?
Kukizungumzia sana kitu nayo nisababu ya kuchochea,safi sana tzdaima. Unapenda watu tuendelee kuzungumzia udini tu kila siku. Kuna mambo mengi ya kuandika siyo kila siku uchomaji wa makanisa au uamsho.hujui kuandikwa kila siku habari za udini zina leta chuki mbaya baini ya watu?
BOKO HARAMU BWANA
mipaka ya nchi au ziwa?usiwe na jazba. tzdaima limevuka mipaka. sasa linaonekana kama TAWI LA KANISA. KWA FAIDA YA MMILIKI WAKE?
haya mbona yameelemea zaidi kanisa? kwani hili ni gazeti la KANISA? kumbe madai ya waislam TZDAIMA hayahusu? ndio msimamo wa mmiliki?