27 September 2022
Benghazi, Libya
Live Broadcast match Libya vs Tanzania
FINAL SCORE LIBYA 2 - 1 TANZANIA
Head Coach Honour Janza na kocha msaidizi Mecky Mexime
Dakika 17' :
Penalti GOAL ! Libya 0 - 0 Tanzania Aishi Manula anadaka lakini alitoka nje ya mstari, penati inarudiwa
Dakika ya 21' GOAL !
Libya wanarudia kupiga penati Abdulati Al Abasi anatikisa nyavu .
Libya 1 - 0 Tanzania
Dakika 25' : Libya 1 - 0 Tanzania
Dakika 40' : Goal ! Said Khamisi ! Taifa stars wasawazisha .
Libya 1 - 1 Tanzania
Dakika 48' Goal! Muhammad Soulah wa Libya ajipatia goli la pili kwake yeye na kwa timu yake, hivyo ubao unasoma Libya 2 -0 Tanzania
Dakika 59' Reliants Lusajo Mwakasugule header safi ndani ya 18 almanusura Taifa wasawazishe, ubao bado unasomeka Libya 2 - 1 Tanzania
Dakika 63' Libya wanaingia ktk 18 za Taifa stars kwa gonga za Abesi na Munir one - two kwa kasi kubwa lakini Aishi Manula anaokoa
Dakika 71' Libya wanaonesha udambwiudambwi kwa gonga safi kwa kumiliki mpira wote zinazowainua mashabiki uwanjani.
Dakika 73' Mecky Mexime kocha msaidizi Taifa Stars anainuka kuwachagiza wachezaji kubadili mchezo
Dakika 74' kona nzuri inachongwa kuelekea goli la Libya, inaokolewa na sasa counter attack
Dakika 75 Libya wanafanya counter attack ya kutisha, sekunde 30 wanamtafuta Aishi Manula lakini Muhammad Sola anapata kigigumizi
DAKIKA 90' Full Time
Libya : Abdulati al Abasi 21' pen, Mohammed Soulah 49'
Tanzania : Said Khamis 40'
MATOKEO:
LIBYA 2 - 1 TANZANIA
====
TAIFA STARS YACHAPWA 2-1 NA LIBYA JIJINI BENGHAZI
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imechapwa mabao 2-1 na wenyeji, Libya katika mchezo wa kirafiki usiku wa Jumanne Uwanja wa Modern Jijini Benghazi.
Bao pekee la Taifa Stars kwenye mchezo huo limefungwa na kiungo Said Hamisi Ndemla huo ukiwa mchezo wa pili wa kirafiki nchini humo ndani ya wiki moja baada ya awali kushinda 1-0 dhidi ya Uganda. Tanzania ilicheza na Uganda katika mchezo wa kwanza Jumamosi ya September 24 na kufanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0, bao la Simon Msuva.
Benghazi, Libya
Live Broadcast match Libya vs Tanzania
FINAL SCORE LIBYA 2 - 1 TANZANIA
Head Coach Honour Janza na kocha msaidizi Mecky Mexime
- Aishi Manula
- Abdallah Mfuko
- Dickson Job
- David Gilbert Ulomi
- Shomari Kibwana
- Himid Mao
- Reliants Lusajo
- Muzamiri Yassin
- Sospeter Bajana
- Simon Msuva
- Joshua Ibrahim
Dakika 17' :
Penalti GOAL ! Libya 0 - 0 Tanzania Aishi Manula anadaka lakini alitoka nje ya mstari, penati inarudiwa
Dakika ya 21' GOAL !
Libya wanarudia kupiga penati Abdulati Al Abasi anatikisa nyavu .
Libya 1 - 0 Tanzania
Dakika 25' : Libya 1 - 0 Tanzania
Dakika 40' : Goal ! Said Khamisi ! Taifa stars wasawazisha .
Libya 1 - 1 Tanzania
Dakika 48' Goal! Muhammad Soulah wa Libya ajipatia goli la pili kwake yeye na kwa timu yake, hivyo ubao unasoma Libya 2 -0 Tanzania
Dakika 59' Reliants Lusajo Mwakasugule header safi ndani ya 18 almanusura Taifa wasawazishe, ubao bado unasomeka Libya 2 - 1 Tanzania
Dakika 63' Libya wanaingia ktk 18 za Taifa stars kwa gonga za Abesi na Munir one - two kwa kasi kubwa lakini Aishi Manula anaokoa
Dakika 71' Libya wanaonesha udambwiudambwi kwa gonga safi kwa kumiliki mpira wote zinazowainua mashabiki uwanjani.
Dakika 73' Mecky Mexime kocha msaidizi Taifa Stars anainuka kuwachagiza wachezaji kubadili mchezo
Dakika 74' kona nzuri inachongwa kuelekea goli la Libya, inaokolewa na sasa counter attack
Dakika 75 Libya wanafanya counter attack ya kutisha, sekunde 30 wanamtafuta Aishi Manula lakini Muhammad Sola anapata kigigumizi
DAKIKA 90' Full Time
Libya : Abdulati al Abasi 21' pen, Mohammed Soulah 49'
Tanzania : Said Khamis 40'
MATOKEO:
LIBYA 2 - 1 TANZANIA
====
TAIFA STARS YACHAPWA 2-1 NA LIBYA JIJINI BENGHAZI
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imechapwa mabao 2-1 na wenyeji, Libya katika mchezo wa kirafiki usiku wa Jumanne Uwanja wa Modern Jijini Benghazi.
Bao pekee la Taifa Stars kwenye mchezo huo limefungwa na kiungo Said Hamisi Ndemla huo ukiwa mchezo wa pili wa kirafiki nchini humo ndani ya wiki moja baada ya awali kushinda 1-0 dhidi ya Uganda. Tanzania ilicheza na Uganda katika mchezo wa kwanza Jumamosi ya September 24 na kufanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0, bao la Simon Msuva.