Dk 62 refa katubania penati Ngassa kaangushwa ndani ya box
Kwa kweli nikikuta post yako bwana Masatu roho inanidunda sana! Tupe habari kijana. Tumeshikilia naniiiii,,,,, tusifungwe goli lingine. Hapa barbeque imeshaandaliwa. tatizo ni namna ya kuila! Tupe raha tuile kwa raha...