Taifa stars vs Mozambique.

ina maana vijana walibeteka kwa ushindi ule wa juzi? Ama.. Kwa nini tunaruhusugi magoli ya fasta fasta?
 
Dk ya 71
Msumbiji 1 - 0 Tanzania
 
Haya basi..kama tumeshindwa turudi tujipange. Lakini sijui kuwa ni kwanini tunafungwa magoli ya mapema sana..
 
Mozambique 3 vs Tanzania 1

Naona mawenge hivi nikweli au ahaaaaaaaa haapanaa! Haiwezekani!
 
Wengine bana mbna tunapelekana mitima kasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…