ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,275
- 5,961
Bila ubishi mechi ya jana ya kufuzu katika mashindano ya AFCON 2012 kati ya Taifa Stars v/s Aljeria ilikuwa nyepesi sana kwetu kama utulivu,umakini na weledi(proffessionalism) ungekuwepo. Tuliwapa support ya kushangilia lakini wachezaji mmetuangusha jamani. Mnataka nini? Tumekosa magoli muhimu sana. KWA UJUMLA MECHI ILIKUWA YETU. Mwalimu Poulsen usiogope kushambulia ukiwa uwanja wa nyumbani.