Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,777
- 24,211
Baada ya kufuatilia Kwa umakini mechi za stars kule AFCON nimegundua yafuatayo
Ingawa taifa stars inaundwa na nyota mbali mbali wakubwa hapa TZ, Africa na across the global ila bado uchezaji wake haufikii club ya Yanga mfano Kwa taifa stars......kadri muda. Unavyokwenda winning spirit is decreasing hii pia ipo Kwa Simba
Lakini hii ni tofauti Kwa Yanga .... kadri muda unavyokwenda.....ndivyo morali ya wachezaji..... inaongezeka Ili kumpiga mpinzani 5Gother things remain constant. ie. referees' neutrality
Nini kifanyike
1. Ikiwezekana taifa stars iweke Kambi pale Avici town ...Ili wale course za Yanga
2. Kikosi chote Cha stars kiwe na wanayanga watupu
3. 1 na 2 yote sawa
JamiiForums mobile app
Ingawa taifa stars inaundwa na nyota mbali mbali wakubwa hapa TZ, Africa na across the global ila bado uchezaji wake haufikii club ya Yanga mfano Kwa taifa stars......kadri muda. Unavyokwenda winning spirit is decreasing hii pia ipo Kwa Simba
Lakini hii ni tofauti Kwa Yanga .... kadri muda unavyokwenda.....ndivyo morali ya wachezaji..... inaongezeka Ili kumpiga mpinzani 5Gother things remain constant. ie. referees' neutrality
Nini kifanyike
1. Ikiwezekana taifa stars iweke Kambi pale Avici town ...Ili wale course za Yanga
2. Kikosi chote Cha stars kiwe na wanayanga watupu
3. 1 na 2 yote sawa
JamiiForums mobile app