johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,778
- 145,708
Kwa mpira waliocheza Harambee stars jana dhidi ya Algeria ni wazi kabisa Kenya ndio vibonde katika kundi letu.
Kenya lazima wachezee 3 - 0 kutoka kwa Taifa stars then watapigwa " mkoni" mechi ya mwisho dhidi ya Senegal.
Taifa stars ina nafasi ya kupenya 16 bora tusikate tamaa japo vibonde wa makundi mengine wapo vizuri zaidi yetu.
Kenya lazima wachezee 3 - 0 kutoka kwa Taifa stars then watapigwa " mkoni" mechi ya mwisho dhidi ya Senegal.
Taifa stars ina nafasi ya kupenya 16 bora tusikate tamaa japo vibonde wa makundi mengine wapo vizuri zaidi yetu.