Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
nyie si mnasema Tanzania ni nchi ya Amani
amani yenyewe haipo zaidi ya viini macho
siombei vita mungu aepushe mbali cause tutakaoumia ni sisi wananchi wenye hali ya chini
Watu wanashindwa kutofautisha Amani na Ujinga!
Tanzania hakuna Amani bali Ujinga