Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,845
- 4,775
Salasm wakuu... baada ya msiba nzito wa Capt J Komba... niliamua kusikiliza kazi mbalimbali alizo zifanya. Nimegundua jamaa alikuwa na uwezo mkubwa sana..... Yani alikuwa na uwezo wa kutunga wimbo na kurekodi ndani ya nusu saa.. Pia tofauti na nyimbo za akina Diamond, Nyimbo za capt Komba hazichuji kbs. Halafu zina ushawishi sana. Kwakweli kuna kila sababu ya kumuenzi.... tuteue cku 1 ya mapumziko tuwe tunackiliza track zake. Japo mimi sio ccm ila kuna wimbo unaitwa Arambee ulikuwa unanishawishi sana..... hasa kwenye yale maneno "wapinzani tuwalete tuwachanechane tuwatupee" dah... huyu jamaa alikuwa hatare sana. Komba day ni muhimu aisee.
Nakuunga mkono mdau,captein alikuwa ni hazina ya utunzi ndani ya taifa letu.Si vibaya kuwa na Komba day ili kumuenzi kipenzi chetu huyu!!.
Pathetic....!!!
Nakuunga mkono mdau,captein alikuwa ni hazina ya utunzi ndani ya taifa letu.Si vibaya kuwa na Komba day ili kumuenzi kipenzi chetu huyu!!.
Nakuunga mkono mdau,captein alikuwa ni hazina ya utunzi ndani ya taifa letu.Si vibaya kuwa na Komba day ili kumuenzi kipenzi chetu huyu!!.
huyu alikuwa mchafuzi Wa taifa hili alitangaza kuingia msituni...Mungu kaliokoa taifa
Labda za n
Labda zile za maombolezo ya nyerere lkn hizi nyingine labda unazielewa wewe tu.
Mwaka 2005 pale Dodoma kwenye mkutano mkuu wa ccm,captein nusura amtoe machozi JK.
Ni pale JK alipotangazwa mshindi mbele ya Dk Salim na Prof mwandosya katika uchaguzi wa ndani wa chama,ndio hapo Captain akaporomosha lile songi maaaarufu kabisa la...."Jakaya Kikwete amechukua ameweka waaa...ccm jama shangilia ushindi unakuja...".
Pale jukwa kuu nilikua namuona JK macho yanamchonyota kwa jinsi captain alivyokuwa anaimba kwa hisia kali!!.
Tungo za Komba noma sanaaaaaπππ