Taifa letu limekosa upinzani thabiti, nani atainyoosha CCM?

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,166
4,581
Sisi Chadema ndio tumekosa hoja kabisa za kunyoosha na kuikosoa hii CCM ya wakandamizi.

Act wazalendo ndio wamebakiza mipasho huko Twitter na kwa ujumla wameunga juhudi.

Sisi Chadema hatuna mwelekeo wa kisiasa kabisa. Sioni ajenda au mkakati wa kupambana na Ccm zaidi ya kuwa washabiki wa kinachoendelea ndani ya CCM.

We are in political limbo.
 
Mi si nimesikia sasa hivi CHADEMA wanasajili wanachama kidigitali vipi tena wewe unasema hawana nguvu
 
Binafsi naamini kwamba, watakao inyoosha CCM watatoka ndani ya CCM.
Bado naamini kwamba CCM itatolewa madarakani na watakaotokea ndani ya CCM
 
Sisi Chadema ndio tumekosa hoja kabisa za kunyoosha na kuikosoa hii CCM ya wakandamizi.

Act wazalendo ndio wamebakiza mipasho huko Twitter na kwa ujumla wameunga juhudi.

Sisi Chadema hatuna mwelekeo wa kisiasa kabisa. Sioni ajenda au mkakati wa kupambana na Ccm zaidi ya kuwa washabiki wa kinachoendelea ndani ya CCM.

We are in political limbo.
Kwani wewe nani kakuzuia kuinyoosha ccm?
 
Sisi Chadema ndio tumekosa hoja kabisa za kunyoosha na kuikosoa hii CCM ya wakandamizi.

Act wazalendo ndio wamebakiza mipasho huko Twitter na kwa ujumla wameunga juhudi.

Sisi Chadema hatuna mwelekeo wa kisiasa kabisa. Sioni ajenda au mkakati wa kupambana na Ccm zaidi ya kuwa washabiki wa kinachoendelea ndani ya CCM.

We are in political limbo.
Kwan c mlikua mnapambana kuhakikisha mpaka. 2020 CDM iwe imekufa??? Sasa hapa unatakaje labda, acha unafiki mbogamboga wewe!!!
 
Back
Top Bottom