Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Sisi Chadema ndio tumekosa hoja kabisa za kunyoosha na kuikosoa hii CCM ya wakandamizi.
Act wazalendo ndio wamebakiza mipasho huko Twitter na kwa ujumla wameunga juhudi.
Sisi Chadema hatuna mwelekeo wa kisiasa kabisa. Sioni ajenda au mkakati wa kupambana na Ccm zaidi ya kuwa washabiki wa kinachoendelea ndani ya CCM.
We are in political limbo.
Act wazalendo ndio wamebakiza mipasho huko Twitter na kwa ujumla wameunga juhudi.
Sisi Chadema hatuna mwelekeo wa kisiasa kabisa. Sioni ajenda au mkakati wa kupambana na Ccm zaidi ya kuwa washabiki wa kinachoendelea ndani ya CCM.
We are in political limbo.