mekuoko
JF-Expert Member
- Nov 15, 2012
- 418
- 365
Speech Mh. Samia Suluhu Hassan jana akihojiwa na Kikeke wa BBC naona imeligawa taifa. Kwamba tabaka la watawala na Watawaliwa.
Na kwamba ukishaazishwa uongo basi unasimamiwa na wote ili kulinda madaraka.
Kundi hili la watawala wanawatoza watawaliwa wanyonge makodi makubwa bila kujali kama hawa watu wanaowatoza waana uwezo au la.
Narudi nyuma sana na kuona ni heri kodi za wakoloni kwani walizingatia mtu alichonacho kuliko hawa wanatutoza kwa uwiano mmoja na wenyewe wakiendelea kuneemeka.
Madarakani na ndugu zao. Mfano ni awamu ya 5 kutaka kuigeuza kijiji cha Chato kuwa Jiji kwa utawala wa miaka 10 ila Mungu lakataa.
Watawala wa Tanzania ni genge la watu wachache, wanoishi na familia zao kwa kuwatoza wananchi kodi/tozo lukuki za miamala ya simu na mabank, kodi za bidhaa, mafufa, umeme, nyumba, ardhi, mazao, material za ujenzi kama mchanga, mawe, udongo, mbao fito, kodi ya maji, kodi ya kulima shamba, ukilipa ada unalipia na kodi hiyo ada etc.
Ila mama jana kasema wanaoulizia Katiba wanaleta siasa za fujo na ni Magaidi na iachwe mahakama iamue.
Mungu yupo, Hawa watu watawala ikiwa ni pamoja na mh. SSH, wao kila kitu wanaishi kwa hizo kodi wanazotutoza, nyumba, malazi, chakula, usafiri mzuri na wa kisasa, vinywaji, mawasiliano, usafi wa nyumba, mazingira ya nyumbani, elimu zao na familia zao kwa kifupi kila kitu wanagharimikiwa na kodi kubwa wanazotutoza kwa kila kitu, wamebakisha tu kututoza tukipumua.
Mungu tuepishe na janga hili la utawala kandamizi, onevu, dhulumati etc.
Mungu hujibu maombi.
Na kwamba ukishaazishwa uongo basi unasimamiwa na wote ili kulinda madaraka.
Kundi hili la watawala wanawatoza watawaliwa wanyonge makodi makubwa bila kujali kama hawa watu wanaowatoza waana uwezo au la.
Narudi nyuma sana na kuona ni heri kodi za wakoloni kwani walizingatia mtu alichonacho kuliko hawa wanatutoza kwa uwiano mmoja na wenyewe wakiendelea kuneemeka.
Madarakani na ndugu zao. Mfano ni awamu ya 5 kutaka kuigeuza kijiji cha Chato kuwa Jiji kwa utawala wa miaka 10 ila Mungu lakataa.
Watawala wa Tanzania ni genge la watu wachache, wanoishi na familia zao kwa kuwatoza wananchi kodi/tozo lukuki za miamala ya simu na mabank, kodi za bidhaa, mafufa, umeme, nyumba, ardhi, mazao, material za ujenzi kama mchanga, mawe, udongo, mbao fito, kodi ya maji, kodi ya kulima shamba, ukilipa ada unalipia na kodi hiyo ada etc.
Ila mama jana kasema wanaoulizia Katiba wanaleta siasa za fujo na ni Magaidi na iachwe mahakama iamue.
Mungu yupo, Hawa watu watawala ikiwa ni pamoja na mh. SSH, wao kila kitu wanaishi kwa hizo kodi wanazotutoza, nyumba, malazi, chakula, usafiri mzuri na wa kisasa, vinywaji, mawasiliano, usafi wa nyumba, mazingira ya nyumbani, elimu zao na familia zao kwa kifupi kila kitu wanagharimikiwa na kodi kubwa wanazotutoza kwa kila kitu, wamebakisha tu kututoza tukipumua.
Mungu tuepishe na janga hili la utawala kandamizi, onevu, dhulumati etc.
Mungu hujibu maombi.