Kauli yake kuhusu mikopo inadhihirisha uzalendo wake.
Hakuogopa taasisi ya urais wala kupoteza cheo chake.
Japo wanasema aliropoka ila ujumbe ulifika katika ukubwa wake.
Haijalishi amekosea mangapi ila kipindi hiki ndo uzalendo wake umejidhihirisha.
Hakuogopa taasisi ya urais wala kupoteza cheo chake.
Japo wanasema aliropoka ila ujumbe ulifika katika ukubwa wake.
Haijalishi amekosea mangapi ila kipindi hiki ndo uzalendo wake umejidhihirisha.
Nyie ni matahila kweli! Yaani ndugai Ni mzalendo?????????