kapikita
Senior Member
- Jun 8, 2014
- 131
- 74
Hali ya taharuki imetanda muda huu katika chuo kikuu cha ruaha hapa iringa ambapo wanachuo wote wamesitisha masomo na kuungana kudai madai yao ya msingi ikiwa ni pamoja na pesa zao za boom na pia kutaka kurudishiwa sh 20,000 kwa kila mwanachuo iliyokatwa kwa madai kwamba inaenda TCU.