Hali ya taharuki imetanda muda huu katika chuo kikuu cha ruaha hapa iringa ambapo wanachuo wote wamesitisha masomo na kuungana kudai madai yao ya msingi ikiwa ni pamoja na pesa zao za boom na pia kutaka kurudishiwa sh 20,000 kwa kila mwanachuo iliyokatwa kwa madai kwamba inaenda TCU.
Kuna jamaa walikua wanajiita watoto wa mbwa walikua wanishinda hapo tangu asubuhi pia kwa dada Aggy.
Ila sio kwa warumi.
Wewe unawafahamu DREAM TEAM?
Frank, Brian, stable...hebu malizieni
Kwa mama sometimes mabanda ya chama.
Unamjua stable?
Aisee kama vile naiona,sa iz inaitwa university corner
Yes yes, niliambiwa kibanda kiliteketea kwa moto.
Aisee kama vile naiona,
Lazima Iringa imebadilika sana.
Nasikia dada aggy aliunguliwa na kile kiosk cha mambao, so sasa ana kiosk cha container!
Sasa hivi kaweka container,yupo fresh sasa
Daudi Mchambuzi hv huyu Stable alipatikanaga? Kuna kipindi alipoteaga mpaaka familia ilitaka kuweka matanga. Duuh umenikumbusha mbali enzi za dada Aggy
weee ndioo da aggy aliunguliwa na ile duka yake yotee hakikupona kitu aisee wale waliokuwa wakilewa pale walihuzunikaje
Hata mimi nilisikitika ila nimefurahi baada ya kusikia amefungua pale.
Kabla ya presentation tulikua tunaenda kununua vingereza dukani kwake.
hahahhaha aisee,siku moja nilikaa siti moja na member wa hicho kibanda kwenye chumba cha mtihani,mmh ananuka viroba na bangi niligonga meza kuomba siti nyengine..ss cjui na hao walikuwa wanatafuta vingereza washukie kwenye pepa Lol..
Inasemekena wazazi walikata tamaa wakaenda hadi kwa TB joshua wakaambiwa stable yuko atarudi, baada ya miezi kadhaa alirudi kutokea south africa kumbe alizamia meli iliyokua ikienda kwenye world cup hapo S.A