Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,502
- 51,098
Serikali ifanyeje kwa mfano ili level seat zipatikane?Usiwe mbinafsi!
Serikali ifanyeje kwa mfano ili level seat zipatikane?Usiwe mbinafsi!
Kenge wewe kàbisaWadudu wa corona hawana nafasi sehemu yenye joto kali lile fukuto la joto la kubanana mwendokasi na daladala kidudu cha corona lazima kinyooshe mikono juu hilo joto ni zaidi ya kujifukiza
Itakuwa sehemu sahihi kama tuna lengo la kutangulia kuzimuAnasema kukataa social distancing ni jambo sahihi ambalo litatupeleka sehemu sahihi!😆😆😆
🤣🤣🤣Itakuwa sehemu sahihi kama tuna lengo la kutangulia kuzimuView attachment 1703091
Kwani mwaka jana ilifanyaje bwashee?!Serikali ifanyeje kwa mfano ili level seat zipatikane?
Mwaka jana kulikuwa na Korona, safari hii hakuna Korona kuna Nyumonia tuKwani mwaka jana ilifanyaje bwashee?!
Mbona level seat iliwezekana.
Serikali makini ina WAJIBU wa kulinda raia wake.Akili ya kuambiwa...changanya na ya kwako weye.... pia soma between lines!
Jukumu la kujikinga na majanga ya kiafya ni la kwako kwanza. Wewe mwenyewe ndiye utakayejiponya ama kujiangamiza.
Kalagha baho!