Tahadhari ya Kujikinga na Korona iangaliwe upya

Kirchhoff

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
5,363
7,602
Hii Ni tahadhali Kama ilivyotolewa na uongozi wa JF;

"Mpendwa mteja, tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya #CORONAVIRUS"

Ningependa neno "kuosha" libadilike na kuwa "kunawa". Tahadhari Isomeke hivi;

"Mpendwa mteja, tunakusihi jitahidi kunawa mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya #CORONAVIRUS"

Neno kuosha linatumika zaidi Kwa Maiti ndo ule msemo wa "Mwosha huoshwa" ukawepo na Ile mwingine "Siri ya Maiti aijua Mwosha"
 
Back
Top Bottom