Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,363
- 7,602
Hii Ni tahadhali Kama ilivyotolewa na uongozi wa JF;
"Mpendwa mteja, tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya #CORONAVIRUS"
Ningependa neno "kuosha" libadilike na kuwa "kunawa". Tahadhari Isomeke hivi;
"Mpendwa mteja, tunakusihi jitahidi kunawa mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya #CORONAVIRUS"
Neno kuosha linatumika zaidi Kwa Maiti ndo ule msemo wa "Mwosha huoshwa" ukawepo na Ile mwingine "Siri ya Maiti aijua Mwosha"
"Mpendwa mteja, tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya #CORONAVIRUS"
Ningependa neno "kuosha" libadilike na kuwa "kunawa". Tahadhari Isomeke hivi;
"Mpendwa mteja, tunakusihi jitahidi kunawa mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya #CORONAVIRUS"
Neno kuosha linatumika zaidi Kwa Maiti ndo ule msemo wa "Mwosha huoshwa" ukawepo na Ile mwingine "Siri ya Maiti aijua Mwosha"