Tahadhari-wizi wa ajabu Dar!

Tahadhari-wizi wa ajabu Dar!

mkuu mbona kama umepanic????

nimepanick sababu ya udini kwenye hoja ambayo mleta mada hakuweka kabisa udini

unaposoma quoted post, si vibaya kuisoma iliyo kuwa quoted as well

BTW, we unaona poa??

jamaa ni zero kabisa.. mleta mada kaleta clear angalizo ila yeye tayari akawahi kule akili fupi ilipo
 
Asante sana kwa taarifa mkuu.na hilo tukio la huyo housegirl limetokea maeneo yepi kwa dar?
 
hata tukiwa makini vipi utawezaje kuyakwepa maji? hata huyo afande
kova asipokuwa makini
nayeye anaweza leweshwa na maji hayo
wana jamvi labda tujadiliane tutumie mbinu ipi mbadala kuweza kukomesha wizi huu mpya.
 
balaa ni kwamba unajikingaje na wizi kama huu
 
Yaani kila jambo lazima mhusishe na uislamu na mbona ni vita hii nchi? Unajua upande mmoja mmefundisha mabaya dhidi ya uislamu, basi tumieni hata akili muone hayo mabaya cz ukweli iko siku nasi tutachoka.. Sasa maji yanahusiana nini na uislamu? Hao hata mapadri, wachungaji wanavyotoa mapepo hamuoni wanatolea nini? Sema uislamu unaweka wazi tuuu ila nyie....

Kwenda huko uislam unaweka Sawa kitu gani kama sio kupotosha watu tu?Sisi tunatumia nguvu za Mungu hatutumii huo uchawi kama nyie
 
Hizo dawa kwanini wao wakizivuta haziwadhuru au wanakaa nazo kwa Tahadhari kubwa?Asante mdau kwa Taarifa.
 
Hapa serikali iwasiliane na hawa jamaa waone ni jinsi gani wanaweza kuuza haya maji na kuingizia pato taifa, Maana hii nisilaha kali zaidi ya scud kwani unaweza kukamata adui akiwa hai na kumweka mbaroni . Na sample ya kutangaza hii biashara ni kumwagia kagame
 
Back
Top Bottom