Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Wadau,kwa mtazamo wangu,Ripoti ya Pili kuhusu mchanga wa dhahabu kuwasilishwa jumatatu siku ambayo mjadala wa Bajeti inaweza ikawa ni mbinu tu ya ku-divert attention ya watu wakiwemo wabunge ili mjadala wa Bajeti upite kiulaini.
Tundu Lissu na wapinzani kwa ujumla muipe kisogo taarifa hiyo mpaka kwanza mmalize mjadala wa Bajeti ndio kisha mjikite kuichambua hiyo ripoti.
Wapinzani ni wachache na hamuwezi zui hiyo Bajeti kupita ila logic hapa ni mapungufu ya hii Bajeti umma uweze kuyaelewa kupitia kwenu ili huko baadae ije ieleweke nani alikuwa chanzo cha matatizo.
Ni mtazamo wangu huu.
Tundu Lissu na wapinzani kwa ujumla muipe kisogo taarifa hiyo mpaka kwanza mmalize mjadala wa Bajeti ndio kisha mjikite kuichambua hiyo ripoti.
Wapinzani ni wachache na hamuwezi zui hiyo Bajeti kupita ila logic hapa ni mapungufu ya hii Bajeti umma uweze kuyaelewa kupitia kwenu ili huko baadae ije ieleweke nani alikuwa chanzo cha matatizo.
Ni mtazamo wangu huu.