TAHADHARI: Uwasilishaji Ripoti ya Pili Jumatatu ni mbinu ya kuteka mjadala wa Bajeti

Mods naomba uzalendo wenu katika hii mada maana hii nchi ni yetu sote.

Wadau,kwa mtazamo wangu,Ripoti ya Pili kuhusu mchanga wa dhahabu kuwasilishwa jumatatu siku ambayo mjadala wa Bajeti unaanza ni mbinu tu ya ku-divert attention ya watu wakiwemo wabunge ili mjadala wa Bajeti upite kiulaini.

Tundu Lissu na wapinzani kwa ujumla muipe kisogo taarifa hiyo mpaka kwanza mmalize mjadala wa Bajeti ndio kisha mjikite kuichambua hiyo ripoti.

Ni mtazamo wangu huu.
Acha ushabiki usio na Tija, kwa hiyo Ripoti isisomwe kwa kuwa kuna mjadala wa Bajeti, ina uhusiano gani? Lissu atabadili nini?
 
Nadhani haina shida, report ya bajeti inaweza kusomwa na report ya madini iwasilishwe tu. Sababu report haitamaliza hata nusu saa lakini bajeti itajadiliwa siku nzima. Wakimaliza kuwasilisha report ya madini, tutahamia bungeni kusikiliza mjadala wa bajeti
 
Mods naomba uzalendo wenu katika hii mada maana hii nchi ni yetu sote.

Wadau,kwa mtazamo wangu,Ripoti ya Pili kuhusu mchanga wa dhahabu kuwasilishwa jumatatu siku ambayo mjadala wa Bajeti unaanza ni mbinu tu ya ku-divert attention ya watu wakiwemo wabunge ili mjadala wa Bajeti upite kiulaini.

Tundu Lissu na wapinzani kwa ujumla muipe kisogo taarifa hiyo mpaka kwanza mmalize mjadala wa Bajeti ndio kisha mjikite kuichambua hiyo ripoti.

Ni mtazamo wangu huu.

Naweza kukuelewa hivi Bajeti ya Wapinzani haitasomwa live kupisha mwenye makinikia kuonyesha makinikia mengine.
 
Sitegemei jipya kwenye uwasilishaji wa ripoti madini hayo matokeo ya maamuzi ambayo walifanya wao wenyewe. Watanzania fidia ambayo tutaipata kwenye swala la kuzuia hatoamini maamuzi ya mtu mmoja aliyekurupuka yatatugharimu
 
Bajeti imeshapita labda wananchi kama wanaona haifai kwao watumie Nguvu ya uma kuomba baadhi ya vipengere vibadilishwe ilakwawabunge waupinzani pekeyao hawawezi kubadilisha chochote kwakua wapowachache
 
Mods naomba uzalendo wenu katika hii mada maana hii nchi ni yetu sote.

Wadau,kwa mtazamo wangu,Ripoti ya Pili kuhusu mchanga wa dhahabu kuwasilishwa jumatatu siku ambayo mjadala wa Bajeti unaanza ni mbinu tu ya ku-divert attention ya watu wakiwemo wabunge ili mjadala wa Bajeti upite kiulaini.

Tundu Lissu na wapinzani kwa ujumla muipe kisogo taarifa hiyo mpaka kwanza mmalize mjadala wa Bajeti ndio kisha mjikite kuichambua hiyo ripoti.

Ni mtazamo wangu huu.
Moderator unga tu huu uzi na ule wa ripoti kuwakilishwa hauna hadhi Ya kuwa stand alone
 
Naweza kukuelewa hivi Bajeti ya Wapinzani haitasomwa live kupisha mwenye makinikia kuonyesha makinikia mengine.
Mkuu upinzani hawajawahi soma bajeti mbadala hata siku moja toka mfumo wa vyama vingi uanze. Hawajawahi tengeneza bajeti mbadala ikieleza kuwa upinzani mapato yangekuwa shilingi ngapi vyanzo vya mapato vingekuwa vipi na matumizi yangekuwa shilingi ngapi na kutoa breakdown Na vipau mbele vingekuwa vipi na vya shilingi ngapi? Subiri hotuba ya waziri kivuli wa upinzani aisome ni vituko hana bajeti mbadala wala nini utakuta anaongea vitu hewa kama mlevi tu hana bajeti mbadala kabisa
 
Kwahiyo report ya makinikia yanaweza ififisha hotuba ya Lissu? Sitaki kuamini umaarufu wake umeshuka namna hiyo. Nilitegemea iwe kinyume.
 
Sitegemei jipya kwenye uwasilishaji wa ripoti madini hayo matokeo ya maamuzi ambayo walifanya wao wenyewe. Watanzania fidia ambayo tutaipata kwenye swala la kuzuia hatoamini maamuzi ya mtu mmoja aliyekurupuka yatatugharimu
DUA LA KUKU...
 
Wadau,kwa mtazamo wangu,Ripoti ya Pili kuhusu mchanga wa dhahabu kuwasilishwa jumatatu siku ambayo mjadala wa Bajeti inaweza ikawa ni mbinu tu ya ku-divert attention ya watu wakiwemo wabunge ili mjadala wa Bajeti upite kiulaini.

Tundu Lissu na wapinzani kwa ujumla muipe kisogo taarifa hiyo mpaka kwanza mmalize mjadala wa Bajeti ndio kisha mjikite kuichambua hiyo ripoti.

Wapinzani ni wachache na hamuwezi zui hiyo Bajeti kupita ila logic hapa ni mapungufu ya hii Bajeti umma uweze kuyaelewa kupitia kwenu ili huko baadae ije ieleweke nani alikuwa chanzo cha matatizo.

Ni mtazamo wangu huu.
Bajeti ni lazima ipite,wabunge hawana jeuri ya kutokupitisha bajeti kwa sababu athari za kutopitisha zinawakumba wao direct....tuwache sie tusikilize mapendekezo ya kamati ya pili we baki na hisia zako za kipotoshaji.
 
Back
Top Bottom