Tahadhari: Uliye karibu na John Mnyika mpe ujumbe wake huu

popo1986

JF-Expert Member
Jul 30, 2014
1,120
371
Hii ni Tahadhari kwake na uongozi mzima wa Chadema, ; John Mnyika tangu tukupe kura nyingi za kutosha umetusahau huku mbezi na posho za ubunge ndio zimekusahaulisha kabisa.
Matatizo yetu huku jimboni unayajua na hatuoni mabadiliko yyte.. isitoshe kama imeshindikana huko juu kutatua basi njoo uongee na sisi tujue cha kufanya lakini upo bize na makaratasi.
NB: IKUMBUKWE MIKUTANO YA SIASA KWENYE JIMBO LAKO INARUHUSIWA SO. HUNA WA KUMLAUMU.

USHAURI:
Uongozi wa Chadema kwa namna hali ya siasa ilivyo sasa mnatakiwa kuwa karibu na wananchi kuliko kipindi chochote kilichopita, kwa sababu utawala huu wa sasa unatenda yale mambo ambayo kwa asilimia kubwa yalikuwa ni matatizo ya wananchi sasa nao wanayatatua, so mkifanya mchezo kuna siku mtajikuta mnabaki wenyewe viongoz bila wa kumuongoza.

Mnyika endelea kutukomesha. Ila huku ni mtakuja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni Tahadhari kwake na uongozi mzima wa Chadema, ; John Mnyika tangu tukupe kura nyingi za kutosha umetusahau huku mbezi na posho za ubunge ndio zimekusahaulisha kabisa.
Matatizo yetu huku jimboni unayajua na hatuoni mabadiliko yyte.. isitoshe kama imeshindikana huko juu kutatua basi njoo uongee na sisi tujue cha kufanya lakini upo bize na makaratasi.

USHAURI:
Uongozi wa Chadema kwa namna hali ya siasa ilivyo sasa mnatakiwa kuwa karibu na wananchi kuliko kipindi chochote kilichopita, kwa sababu utawala huu wa sasa unatenda yale mambo ambayo kwa asilimia kubwa yalikuwa ni matatizo ya wananchi sasa nao wanayatatua, so mkifanya mchezo kuna siku mtajikuta mnabaki wenyewe viongoz bila wa kumuongoza.

Mnyika endelea kutukomesha. Ila huku ni mtakuja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa waliozuiwa kufanya mikutano ya kisiasa watakuwaje karibu na wananchi!!!
 
Mbunge mmoja atawezaje kuwaridhisha watu wote? pengine Ana kazi zake nyingine amezifanya kubwa na nzuri ila hatuzioni.anyway kura Ni haki ya kila mtu
Ukisema kazi anazozifanya kauli hiyo inachoma sana inamaaba hizo ni bora kura tulizompa? Basi kama inashindikana aitishe hata mkutano Mkuu jamaa hajawahi hata siku moko kuongea na sisi. Ila hamna noma. Acha maisha yaendelwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni Tahadhari kwake na uongozi mzima wa Chadema, ; John Mnyika tangu tukupe kura nyingi za kutosha umetusahau huku mbezi na posho za ubunge ndio zimekusahaulisha kabisa.
Matatizo yetu huku jimboni unayajua na hatuoni mabadiliko yyte.. isitoshe kama imeshindikana huko juu kutatua basi njoo uongee na sisi tujue cha kufanya lakini upo bize na makaratasi.
NB: IKUMBUKWE MIKUTANO YA SIASA KWENYE JIMBO LAKO INARUHUSIWA SO. HUNA WA KUMLAUMU.

USHAURI:
Uongozi wa Chadema kwa namna hali ya siasa ilivyo sasa mnatakiwa kuwa karibu na wananchi kuliko kipindi chochote kilichopita, kwa sababu utawala huu wa sasa unatenda yale mambo ambayo kwa asilimia kubwa yalikuwa ni matatizo ya wananchi sasa nao wanayatatua, so mkifanya mchezo kuna siku mtajikuta mnabaki wenyewe viongoz bila wa kumuongoza.

Mnyika endelea kutukomesha. Ila huku ni mtakuja.

Sent using Jamii Forums mobile app

SAFI SANA. Umenena maana siye huyo tu, kunawengine wanajitokez tu kwenye misiba. Pia yeye ni member wa hili jukwaa, hivyo ujumbe ataupata au atafikishiwa
 
Hii ni Tahadhari kwake na uongozi mzima wa Chadema, ; John Mnyika tangu tukupe kura nyingi za kutosha umetusahau huku mbezi na posho za ubunge ndio zimekusahaulisha kabisa.
Matatizo yetu huku jimboni unayajua na hatuoni mabadiliko yyte.. isitoshe kama imeshindikana huko juu kutatua basi njoo uongee na sisi tujue cha kufanya lakini upo bize na makaratasi.
NB: IKUMBUKWE MIKUTANO YA SIASA KWENYE JIMBO LAKO INARUHUSIWA SO. HUNA WA KUMLAUMU.

USHAURI:
Uongozi wa Chadema kwa namna hali ya siasa ilivyo sasa mnatakiwa kuwa karibu na wananchi kuliko kipindi chochote kilichopita, kwa sababu utawala huu wa sasa unatenda yale mambo ambayo kwa asilimia kubwa yalikuwa ni matatizo ya wananchi sasa nao wanayatatua, so mkifanya mchezo kuna siku mtajikuta mnabaki wenyewe viongoz bila wa kumuongoza.

Mnyika endelea kutukomesha. Ila huku ni mtakuja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini usimu address Jiwe maana mlimchagua na pia ndio anakusanya Kodi
 
Hii ni Tahadhari kwake na uongozi mzima wa Chadema, ; John Mnyika tangu tukupe kura nyingi za kutosha umetusahau huku mbezi na posho za ubunge ndio zimekusahaulisha kabisa.
Matatizo yetu huku jimboni unayajua na hatuoni mabadiliko yyte.. isitoshe kama imeshindikana huko juu kutatua basi njoo uongee na sisi tujue cha kufanya lakini upo bize na makaratasi.
NB: IKUMBUKWE MIKUTANO YA SIASA KWENYE JIMBO LAKO INARUHUSIWA SO. HUNA WA KUMLAUMU.

USHAURI:
Uongozi wa Chadema kwa namna hali ya siasa ilivyo sasa mnatakiwa kuwa karibu na wananchi kuliko kipindi chochote kilichopita, kwa sababu utawala huu wa sasa unatenda yale mambo ambayo kwa asilimia kubwa yalikuwa ni matatizo ya wananchi sasa nao wanayatatua, so mkifanya mchezo kuna siku mtajikuta mnabaki wenyewe viongoz bila wa kumuongoza.

Mnyika endelea kutukomesha. Ila huku ni mtakuja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si alivurugikwa na kichwa kwani alishapona mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu bwana JIWE alishawaambia hamuwezi kupata maendeleo mmechagua upinzani so ninyi muamue kufa na tai shingoni iwe jua ama mvua CCM huku basi. lakini sio kumpa lawama Mnyika.. mwenyewe alimgalagaza JIWE siku ya ufunguzi wa bara bara akaharibu siku yake yote leo hii mnasema hajafanya kitu
 
Mnyika alishajikatia tamaa ya kurudi bungeni.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hii ni Tahadhari kwake na uongozi mzima wa Chadema, ; John Mnyika tangu tukupe kura nyingi za kutosha umetusahau huku mbezi na posho za ubunge ndio zimekusahaulisha kabisa.
Matatizo yetu huku jimboni unayajua na hatuoni mabadiliko yyte.. isitoshe kama imeshindikana huko juu kutatua basi njoo uongee na sisi tujue cha kufanya lakini upo bize na makaratasi.
NB: IKUMBUKWE MIKUTANO YA SIASA KWENYE JIMBO LAKO INARUHUSIWA SO. HUNA WA KUMLAUMU.

USHAURI:
Uongozi wa Chadema kwa namna hali ya siasa ilivyo sasa mnatakiwa kuwa karibu na wananchi kuliko kipindi chochote kilichopita, kwa sababu utawala huu wa sasa unatenda yale mambo ambayo kwa asilimia kubwa yalikuwa ni matatizo ya wananchi sasa nao wanayatatua, so mkifanya mchezo kuna siku mtajikuta mnabaki wenyewe viongoz bila wa kumuongoza.

Mnyika endelea kutukomesha. Ila huku ni mtakuja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unasema utawala huu unatenda yale yaliyokua kero ya wananchi na Hapo Hapo unasema Mnyika amewatelekeza na kezo zenu zipo palepale. Vp Hapo mnapoishi ni nchi tofauti na Tanzania? au mnataka kumwona Mnyika sura yake ndo shida.
 
Back
Top Bottom