TAHADHARI: Ugonjwa wa 'dengue' waingia Dar es Salaam!

Useful thread!!!!!............. ila sijui kwanini eti nimejisikia vibaya kwa wewe kuto kuni-copy

jamani nisamehe sana.
Uue haya majina yetu ya kigalatia huwa ni magumu sana kuyakumbuka yote huoni sasa nimesahau watu wengine??
 
Asante sana mkuu.
Inatisha, huu ugonjwa upo sana nchi za Latin America na America ya Kusini, sikuwahi kusikia ugonjwa huu kuwepo Africa. Kwa jinsi huduma zetu za afya zilivyo mbovu hii ni hatua ya kutisha sana. Sidhani kama wahusika wa afya hata wamejiandaa kupambana nao, usikute hata wauguzi na wahudumu wengine wa sekta ya afya hawaufahamu kabisa. Kwa watu wa kawaida kitaani hii ni changamoto nyingine inayoongeza ugumu wa maisha ya kila siku!
 
Useful thread!!!!!............. ila sijui kwanini eti nimejisikia vibaya kwa wewe kuto kuni-copy

na mimi pia nimejisikia vibaya ati, naona dada yangu gfsonwin siku hizi amenifuta kabisa kwenye list yake pendwa!!
 
jamani nisamehe sana.
Uue haya majina yetu ya kigalatia huwa ni magumu sana kuyakumbuka yote huoni sasa nimesahau watu wengine??

na kweli ya kigalatia, manake juzi kati nimekuita mahali hukuitikia, kumbe nilikosea kutamka hicho kigalatia, loh!
 
Asante sana mkuu.
Inatisha, huu ugonjwa upo sana nchi za Latin America na America ya Kusini, sikuwahi kusikia ugonjwa huu kuwepo Africa. Kwa jinsi huduma zetu za afya zilivyo mbovu hii ni hatua ya kutisha sana. Sidhani kama wahusika wa afya hata wamejiandaa kupambana nao, usikute hata wauguzi na wahudumu wengine wa sekta ya afya hawaufahamu kabisa. Kwa watu wa kawaida kitaani hii ni changamoto nyingine inayoongeza ugumu wa maisha ya kila siku!

Hivi ndo huo niliosikia umelipuka huko Bukoba au??
 
na mimi pia nimejisikia vibaya ati, naona dada yangu gfsonwin siku hizi amenifuta kabisa kwenye list yake pendwa!!

lolz mito kaka yangu wa moyoni kweli nimekufuta moyoni mwangu?
hapana wala siwez ila tu haya majina bana yanautata sana kuyakumbuka ni ishu usipime.
btw mzima wewe ma blood bro?? miss you sana
 
Last edited by a moderator:
Asante sana mkuu.
Inatisha, huu ugonjwa upo sana nchi za Latin America na America ya Kusini, sikuwahi kusikia ugonjwa huu kuwepo Africa. Kwa jinsi huduma zetu za afya zilivyo mbovu hii ni hatua ya kutisha sana. Sidhani kama wahusika wa afya hata wamejiandaa kupambana nao, usikute hata wauguzi na wahudumu wengine wa sekta ya afya hawaufahamu kabisa. Kwa watu wa kawaida kitaani hii ni changamoto nyingine inayoongeza ugumu wa maisha ya kila siku!
ni kweli haukuwa ugonjwa common huku kwetu ila sasa umeshaingia na last week uliua watoto 6 wakasema ni malaria kali. lkn sampuli za damu zilipopelekwa kwenda kupimwa ilikutwa wana virusi vya dengue.

swali nililojiuliza hivi kwann hosp za wilaya hazina vifaa vya maabara?? kweli imefkia watu tuna rely kwenye kupima damu kwa compound microscope?? amanke nashindwa kuelewa kwann maabara za hosp hazikugundua hili mpaka baadae zilipopelekwa kweye maabara tofauti??
 
my God!
Eee mola tunusuru waja wako.........sa kwa nini uliumba hivi vijidudu lakini.....aaaargh!
 
my God!
Eee mola tunusuru waja wako.........sa kwa nini uliumba hivi vijidudu lakini.....aaaargh!
Paloma Mungu huwa haambiwi hivi............
istoshe kwa wanaecolojia kila kiumbe kipo kina faida na hasara zake.
waweza kuona huyu mbu ni hatari sana lkn kumbe kwa uwepo wake amesababisha kiumbe mwingine hatari zaid asiwepo and virse versa is true.
but cha muhimu jikinge na mbu iwe mchana hata usiku
 
Last edited by a moderator:
ni kweli haukuwa ugonjwa common huku kwetu ila sasa umeshaingia na last week uliua watoto 6 wakasema ni malaria kali. lkn sampuli za damu zilipopelekwa kwenda kupimwa ilikutwa wana virusi vya dengue.

swali nililojiuliza hivi kwann hosp za wilaya hazina vifaa vya maabara?? kweli imefkia watu tuna rely kwenye kupima damu kwa compound microscope?? amanke nashindwa kuelewa kwann maabara za hosp hazikugundua hili mpaka baadae zilipopelekwa kweye maabara tofauti??

Mkuu,

Tunakosa mpaka bendeji, pamba, gloves n.k, itakuwa maabara zenye vifaa? Kuna kina mama kadhaa walinieleza mwaka jana ya kuwa walikuwa wanapewa orodha ya vitu vya kwenda navyo hospitali wakati wa kujifungua, mpaka wembe wa kukatia kitovu cha mtoto...

Tumefika pabaya sana, tunaishi kwa Neema tu!
 
Ooooohhhhooo asante kwa taarifa ingawa najuuuuuta kuufungua huu uzi maana nina malaria umenipa mawazooooo

jamani poleee mweeeh!
ila usijali kama uko dar nenda temeke ama amana ama muhimbili, huko kuna mashine za kupima usiwe na hofu tiba ipo bana.
 
This is the kind of OUTBREAK...sasa serikali km iko serious na uhai wetu wafanye Fumigation jamanii...halafu inasemakana ndo kilichomuua Langa...wamegundua baadaee
 
Back
Top Bottom