Lubuva na wapuuzi milioni 8.Rais hana vision kabisa.
Sijui alifikaje pale alipo
Wenye akili na nia ya kweli ya maendeleo ya nchi hii wamechoka kuchangia ndugu yangu.., na sio ktk JF tuu.. Hata ktk majukwaa mengine watu wamechoka kupiga domo lisilo leta mabadiliko..Uzi umelala kama wabongo walivolala, wakiamka wanapitia kurasa za diamond,wema na wakaa uchi wengine.
Hawana time na maslahi yao. Nyuzi za aina hii haiwez kuchangiwa.
Mungu tuokoe Waja wako na vizazi vyetu.
Check mzigo wa Alizeti toka babati na Singida.
TRA ndio chanzo kikuu cha kuua uchumi wa Tanzania wanahama tuu leo wafanye nini na kesho wafanye nini hamna wanachokijua...wamewapa watu tenda za kuuza machine za efd hatafu mbovu wao hilo hawajui na wauzaji wajanja wajanja tuu hawatoi warrant ya ukweli ni majanga kwa wafanyabiashara...
Umekosea au kweli mkuu?!Nimepata taarifa muda huu kwa Dar lita 20 inauzwa kwa 680000 na hayapatikani kirahisi. Eh Mungu tunusuru.
Wao andika mambo ya vibamia, mabwawa, wapenzi kung'ang'aniana, uchawi, kufumaniana, yakina Zari na Hamisa..hapo utawapata, usishangae watawala kujiona Miungu, ni Taifa lilolala, vivu la kufikiri na lilokosa hamasa kwa vijana..Uzi umelala kama wabongo walivolala, wakiamka wanapitia kurasa za diamond,wema na wakaa uchi wengine.
Hawana time na maslahi yao. Nyuzi za aina hii haiwez kuchangiwa.
Mungu tuokoe Waja wako na vizazi vyetu.
Kipimo 200? wapi huko mkuu huku kwetu kipimo ni 400Sasa hivi ukienda dukani kupima mafuta, kipimio kilikuwa tsh mia mwezi uliopita sasa hivi 200 duu maisha yamepanda kweli kweli
Rais hana vision kabisa.
Sijui alifikaje pale alipo