Niko southern Huku Namtumbo/Tunduru nimemuona Tembo juzi juzi aisee tembo ni mkubwa kishenzu
😳 Hivi Tembo alivyo bonge vile ndio anakimbia speed yote hiyo?
Mwendo elekezi kwa mabasi yetu TanzaniaTembo anakimbia sana kuliko binadamu, speed yake 80 km/hr
Last week Ijumaa amesababisha foleni ndefu sana Mikumi, alifika barabarani akaduwaa, msururu wa magari ukawa kama 4 kilometres kama vile tunasubiri msafara wa kiongozi wa kitaifa apiteOhooo mkuu pitia huku Lingusenguse maana haupo mbali napo,Tembo anahitaji RESPECT na muda wote angalia body language yake hasa positions ya masikio yake na mkia,kukaa kimya ni safi but always kuwa mwangalifu na approaching yake towards you,kama anakimbia kuja kwako na masikio juu ,hold your ground don't move ila kama anakuja kwa pembeni ni hatari maana anajilinganisha nawe na pls kama ndani ya gari reverse ili kuonyesha kuwa yiur not a threat,elewa Tembo ni wild animal SIO pet one
Safi sana was a right decision,poleni kwa upotevu wa muda but end of the day kila mtu alikua safely na hii ndio tunaita RESPECT,tembelea Kasane,Botswana uone jinsi wild animals na binadamu wanavyoishi pamoja!!Last week Ijumaa amesababisha foleni ndefu sana Mikumi, alifika barabarani akaduwaa, msururu wa magari ukawa kama 4 kilometres kama vile tunasubiri msafara wa kiongozi wa kitaifa apite
Ushoroba pub namtumbo hiyoSehemu nyingi za hizo wilaya ni mapitio ya tembo na wanyama wengine. "ushoroba"
Huu mwaka gani brooNikiwa Makuyuni JKT, nakumbuka tulikuwa tunawaona sana, kauli mbiu kuu ilikuwa usipige kelele kaa kimya.
Huamini ila ndo uhalisia Tembo anakimbia Sana sinui labda kwa sababu NI mrefu sanaSiamini kama tembo anaweza nikimbiza akanipata
Binadamu ndio mnyama mwenye spidi ndogo kuliko wote hata panya akichochea anakuacha...Siamini kama tembo anaweza nikimbiza akanipata
Dah....kazidisha Mara mbili 🤣🤣🤣🤣🤭😃😃😃 Me mwenyewe nimeshangaa aise.
Kwanini Botswana na sio ngorongoro?Safi sana was a right decision,poleni kwa upotevu wa muda but end of the day kila mtu alikua safely na hii ndio tunaita RESPECT,tembelea Kasane,Botswana uone jinsi wild animals na binadamu wanavyoishi pamoja!!